Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sudan anapigwa nani?Ila kinachoendelea Sudan kuuliza Waafrika waislamu hakihitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.
Hata Mandela alikua amewekwa kwenye list ya magaidi na nchi ya Marekani na swahiba zake!!
Na ww laani hakuna aliye kuzuia na sio kupangia watu wengine cha kufanya.Hivi huu ni unafiki wa aina gani?yaani waisrael walivamiwa na hammas wakauawa 1400 hatukuona laana yeyote Urusi imeivamia Ukraine kwa visingizio vya uwongo imeua na kutesa watu wa Ukraine ushahidi umeonekana pale Bucha, Lyman makaburi ya halaiki hatuoni kulaaniwa waislamu wakiuana wenyewe kwa wenyewe mfano somalia, Nigeria,bokoharamu,alshababu, Yemen hatuoni mkilaani,wapalestina waneuawa na WA Lebanon,wa Syria hatuoni tukio la kulaani kwanini Israel ndio ilalamikiwe inapojilinda hii inaonyesha ni chuki dhidi ya wayahudi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Sio razima kila kitu afanye yy hata ww hakuna aliye kukataza kulaani hamas usitake kuwapangia watu cha kusema.Haya tuliyasema. Wayahudi walipouawa huyo Salah na wengine hawakulaani mauaji bali wakapongezana kwa furaha. Leo mambo yamegeuka wanajidai kulaani na bado laana inawarudia wao na kule inaenda baraka.
Akiwemo yesu na baba yake.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wavaa vipedo bhana
UmepanicAkiwemo yesu na baba yake.
Nimepanic nn kwani yesu na baba yake Yosefu walikuwa wanavaa raba na wachoma kumoyo?Umepanic
Mvaa kubaz umepanicNimepanic nn kwani yesu na baba yake Yosefu walikuwa wanavaa raba na wachoma kumoyo?
sawa...Sio razima kila kitu afanye yy hata ww hakuna aliye kukataza kulaani hamas usitake kuwapangia watu cha kusema.
Ungejua bila ya Marekani (Ronald Reagan) na Uingereza (Margreth Thatcher) kuamua huyo Mandela angefia jela usingeongea ila basi kwa kuwa hufahamu ngoja nikuache.Hata Mandela alikua amewekwa kwenye list ya magaidi na nchi ya Marekani na swahiba zake!!
Wewe mvaa ushanga kwani vipi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wavaa vipedo bhana
Siwezi kupanic kwa sababu najivunia kuvaa aina ya kiatu kilicho valiwa na yesu.Mvaa kubaz umepanic
Ww unaye shinda humu una bwabwaja mbona hujaenda kujiunga na jeshi la mayahudi kwa ajili ya kuivamia gaza?Mo acheze mpira au kama vipivipi avue madaluga akavae military boots aingie mzigoni apigane upande wa magaidi wa Hamas. That's all.
Ungejua bila ya Marekani (Ronald Reagan) na Uingereza (Margreth Thatcher) kuamua huyo Mandela angefia jela usingeongea ila basi kwa kuwa hufahamu ngoja nikuache.
UmepanicWewe mvaa ushanga kwani vipi?
Mbona kwenye hiyo clip hajalaani chochote?Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
View attachment 2786134
Mbona kwenye hiyo clip hajalaani chochote?
Unataka kutujaza ujinga?