FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unaelewa Kingereza? Kulaani kwa Kingereza nini? Halafu unambie neno hilo lipo sekende ya ngapi labda limenipita.Na wewe shule ulienda kusomea ujinga Dada yangu?!! Ama mtu akizeeka na akili zinazeeka?!!
Hembu andika alichokisema kwenye hiyo clip tuone kama ameunga mkono yanayofanywa na Israel!!
Nasubiri.