Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au GhanaTumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
View attachment 2786134
Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
View attachment 2786134
Tumehack akaunti yakeKinachoendelea huko Gaza inahitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.
Haya njoo na dhihaka nyingine ya kukanusha kua sio Mohamed SalahView attachment 2786141🤣🤣🤣
Hivi huu ni unafiki wa aina gani?yaani waisrael walivamiwa na hammas wakauawa 1400 hatukuona laana yeyote Urusi imeivamia Ukraine kwa visingizio vya uwongo imeua na kutesa watu wa Ukraine ushahidi umeonekana pale Bucha, Lyman makaburi ya halaiki hatuoni kulaaniwa waislamu wakiuana wenyewe kwa wenyewe mfano somalia, Nigeria,bokoharamu,alshababu, Yemen hatuoni mkilaani,wapalestina waneuawa na WA Lebanon,wa Syria hatuoni tukio la kulaani kwanini Israel ndio ilalamikiwe inapojilinda hii inaonyesha ni chuki dhidi ya wayahudiTumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
View attachment 2786134
Naam,magaidi wamehack,sio yeye!!!Tumehack akaunti yake
Wewe unaumwa hiyo ndo rafudhi ya waarabu 100% sio ya Nigeria au Ghana hawana "p" wana "b"Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
hehehhe tunarudia yale majibu yenu enzi za ukraine na mrusi ....kosa moja halihalalishi lingineHivi huu ni unafiki wa aina gani?yaani waisrael walivamiwa na hammas wakauawa 1400 hatukuona laana yeyote Urusi imeivamia Ukraine kwa visingizio vya uwongo imeua na kutesa watu wa Ukraine ushahidi umeonekana pale Bucha, Lyman makaburi ya halaiki hatuoni kulaaniwa waislamu wakiuana wenyewe kwa wenyewe mfano somalia, Nigeria,bokoharamu,alshababu, Yemen hatuoni mkilaani,wapalestina waneuawa na WA Lebanon,wa Syria hatuoni tukio la kulaani kwanini Israel ndio ilalamikiwe inapojilinda hii inaonyesha ni chuki dhidi ya wayahudi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
huyo sallah ni naniTumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
View attachment 2786134
Hujitambui badoHiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
Kinachoendelea huko Gaza inahitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.
Haya njoo na dhihaka nyingine ya kukanusha kua sio Mohamed SalahView attachment 2786141
Hujitambui badoHiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
Hatushangai chuki zao dhidi ya uislam na waislam