Mohamed Salah wa Liverpool alaani mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza!

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.

Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.

Je, Liverpool watamsimamisha?

Your browser is not able to display this video.
 
Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
 
Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana

Kinachoendelea huko Gaza inahitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.

Haya njoo na dhihaka nyingine ya kukanusha kua sio Mohamed Salah
 
Watu wamekuja na katuni ya Mo Salah daah
 
Hivi huu ni unafiki wa aina gani?yaani waisrael walivamiwa na hammas wakauawa 1400 hatukuona laana yeyote Urusi imeivamia Ukraine kwa visingizio vya uwongo imeua na kutesa watu wa Ukraine ushahidi umeonekana pale Bucha, Lyman makaburi ya halaiki hatuoni kulaaniwa waislamu wakiuana wenyewe kwa wenyewe mfano somalia, Nigeria,bokoharamu,alshababu, Yemen hatuoni mkilaani,wapalestina waneuawa na WA Lebanon,wa Syria hatuoni tukio la kulaani kwanini Israel ndio ilalamikiwe inapojilinda hii inaonyesha ni chuki dhidi ya wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo siyo sura ya Moh Salah, hata sauti siyo yake, hiyo ni rafudhi ya West Africa Nigeria au Ghana
Wewe unaumwa hiyo ndo rafudhi ya waarabu 100% sio ya Nigeria au Ghana hawana "p" wana "b"
 
hehehhe tunarudia yale majibu yenu enzi za ukraine na mrusi ....kosa moja halihalalishi lingine
 
huyo sallah ni nani
 
Haya tuliyasema. Wayahudi walipouawa huyo Salah na wengine hawakulaani mauaji bali wakapongezana kwa furaha. Leo mambo yamegeuka wanajidai kulaani na bado laana inawarudia wao na kule inaenda baraka.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wavaa vipedo bhana
 
Kinachoendelea huko Gaza inahitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.

Haya njoo na dhihaka nyingine ya kukanusha kua sio Mohamed SalahView attachment 2786141

Ila kinachoendelea Sudan kuuliza Waafrika waislamu hakihitaji roho ya ubinaadamu na utu tu kutambua kua sio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…