Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Wewe acha kuumiaaaa. Mimi sijajadili maslahi nimejadili utaratibu

Uliona wapi mwenye 49% ya shares anafanya maamuzi kwa 51%

Jiongezage buanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Duh asee embu nikuache maana mijadala na wamama siiwezagi.πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Simba inajulikana tangu zamani hata enzi za kuwapiga Yanga 6-0 na 5-0 labda we mtoto wa 2000
We jamaa unajiskia unachoongea kweli??
Simba ya miaka hiyo ilikua inajulikana kvp kimataifa kama sasa!!?
Unafananisha jina la simba kimataifa kwasasa na zamani!?
Kwaheri πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Moo hataki kuanzisha vitu anataka vianzishwe yeye aingie huko katikati kupata fursa huku akiwanyonya waanzilishi

Mliowahi fanya kazi METL mnaelewa zaidi
tatizo la simba hawatai kuambiwa ukweli
 
Kichwani umejaza kamasi, SACCOS zip nyingine sana mpaka ambazo ni ndogo kabisa, huu unatumia humu kubishana ungeutumia hata kujifunza matumizi ya herefi kubwa na ndogo.
Wewe mpuzi kabisa hujui hata maana ya saccos hata kama sijui matumizi ya herufi!!.. Wewe ni mmoja wa hasara za Taifa hili!!
 
Hivi ile bil 20 aliweka kweli ?
 
Moo hataki kuanzisha vitu anataka vianzishwe yeye aingie huko katikati kupata fursa huku akiwanyonya waanzilishi

Mliowahi fanya kazi METL mnaelewa zaidi
Kumbe Ni mzee wa vitonga huyuu.....Basi yameshaanza kumshinda hapo
 
Kumbe Ni mzee wa vitonga huyuu.....Basi yameshaanza kumshinda hapo

Patamshinda kweli, na kama hawajui watanzania asilia sasa atawajua

Wajumbe mpoooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeandika maneno mazuri sana
 
Mie nilizwe na simba au moo!? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mwenzio mimi na wewe tuko tofauti sanaaaaa mimi nalizwa na vitu ambavyo hata huwezi kuviwaziaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mh hivyo vitu navijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…