APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
kumbe wanakugonga ngoja niache pull nashukuru kupata demu msema kweliKazana kupiga puli kijana utagongewa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe wanakugonga ngoja niache pull nashukuru kupata demu msema kweliKazana kupiga puli kijana utagongewa sana
Duh asee embu nikuache maana mijadala na wamama siiwezagi.🙌🙌Wewe acha kuumiaaaa. Mimi sijajadili maslahi nimejadili utaratibu
Uliona wapi mwenye 49% ya shares anafanya maamuzi kwa 51%
Jiongezage buana😂😂😂
Hapo mmenena afanye tu kama mwenzie mzee bakhresa yuko na azam yake saaafiii kabisa
kumbe wanakugonga ngoja niache pull nashukuru kupata demu msema kweli
Duh asee embu nikuache maana mijadala na wamama siiwezagi.🙌🙌
We jamaa unajiskia unachoongea kweli??Simba inajulikana tangu zamani hata enzi za kuwapiga Yanga 6-0 na 5-0 labda we mtoto wa 2000
tatizo la simba hawatai kuambiwa ukweliMoo hataki kuanzisha vitu anataka vianzishwe yeye aingie huko katikati kupata fursa huku akiwanyonya waanzilishi
Mliowahi fanya kazi METL mnaelewa zaidi
Wewe mpuzi kabisa hujui hata maana ya saccos hata kama sijui matumizi ya herufi!!.. Wewe ni mmoja wa hasara za Taifa hili!!Kichwani umejaza kamasi, SACCOS zip nyingine sana mpaka ambazo ni ndogo kabisa, huu unatumia humu kubishana ungeutumia hata kujifunza matumizi ya herefi kubwa na ndogo.
Ndio alivyosema kuwa ameacha kuwa mwenyekiti wa Bodi kwa sababu ya manara?Amezingua huyo manara alivomchamba kuhusu kupenda ku trend alikuwa sahihi
tatizo la simba hawatai kuambiwa ukweli
Hivi ile bil 20 aliweka kweli ?MOHAMMED DEWJ ABWAGA MANYANGA SIMBA SC
-
Mohammed Dewji amesema kikao walichokaa Septemba 21, 2021 kuwa asiendelee kuwa Mwenyekiti wa Simba Sc kutokana na safari zake za kibiashara kuwa nyingi
-
Hata hivyo amesema anaendelea kuwa mwekezaji katika klabu ya SImba huku akiahidi kushirikiana vizuri na viongozi watakaoendelea kuwepo
-
Kwa sasa Kaimu Mwenyekiti ni Said Abdallah Muhene A.K.A Try Again ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba
Jana iliwekwa post hum JF kwa tetes kwamba kameondoka. Lakn mods wakaifungia haikufunguka kabisa. Labda wameenda woteNa kamchepuko kake kanabakia kuwa CEO au nako kanakula rapa?
Kumbe Ni mzee wa vitonga huyuu.....Basi yameshaanza kumshinda hapoMoo hataki kuanzisha vitu anataka vianzishwe yeye aingie huko katikati kupata fursa huku akiwanyonya waanzilishi
Mliowahi fanya kazi METL mnaelewa zaidi
alafu unakutana na mtu huku anataka kushindana na yanga badala wajitahidi kuwarudisha mabwana zaoWataelewa tuu akishawafyonza wote na kuwatupa
Kwahiyo Mo kajipiga mwenyewe!!.simba imepigwa na moo kisomi,kajitoa kijanja kawaacha simba na mikataba ambayo simba hawatamfuatilia moo atakama kawapiga,maana mikataba ipo
Kumbe Ni mzee wa vitonga huyuu.....Basi yameshaanza kumshinda hapo
Umeandika maneno mazuri sanaSio kwamba anawekeza simba bila kuwa na maslahi. Kabla ya MO simba ilikuwepo na baada yake itakuepo.
Hakuna anayemchukia hata kwa anayoyafanya ila na yeye atambue simba ina mashabiki na wapenzi ambao hawezi kuwakwepa.
Kama hataki maneno aanzishe team mpya kabisaaaaa iwe mali yake binafsi
Maana kama anakereka atashindwa kuistawisha team na zaidi ataididimiza.... Angondoka kabisa ili wenye nia waingie na kufanya kazi na Simba
mh hivyo vitu navijuaMie nilizwe na simba au moo!? 😅😅😅
Mwenzio mimi na wewe tuko tofauti sanaaaaa mimi nalizwa na vitu ambavyo hata huwezi kuviwazia😂😂😂😂