CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na mwenyekiti wa wanachama , hawajui kama kule kuna Mangungu akiwakilisha wanachama siku ikifika kwao wakaona msola yupo na mwenyekiti wa bodi ndipo wataelewa halafu watajisifu kwamba ni utaratibu mzuri sana haujawahi kutokeaLuc Eymael ni mtu mwerevu aliyeona mbali sana
[emoji23][emoji23][emoji23]nikuache tu ku deal na wapumbavu ni mtihani sana hasa toto la kiume likiwa jingana badooo
umepigwa sana
kama moo[emoji23][emoji23][emoji23]nikuache tu ku deal na wapumbavu ni mtihani sana hasa toto la kiume likiwa jinga
Huyu jamaa mpuuzi sana anawafanya Simba waonekane kama Ma house girl ama houseboynilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi mnzuri,anaingiliawachezaji,anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi
akiondoka tu babra simba itasimamaHuyu jamaa mpuuzi sana anawafanya Simba waonekane kama Ma house girl ama houseboy
Anataka aitie timu mfukoni iwe mali yake,timu ambayo ilikuwepo miaka nenda miaka rudi.Sio kwamba anawekeza simba bila kuwa na maslahi. Kabla ya MO simba ilikuwepo na baada yake itakuepo.
Hakuna anayemchukia hata kwa anayoyafanya ila na yeye atambue simba ina mashabiki na wapenzi ambao hawezi kuwakwepa.
Kama hataki maneno aanzishe team mpya kabisaaaaa iwe mali yake binafsi
Maana kama anakereka atashindwa kuistawisha team na zaidi ataididimiza.... Angondoka kabisa ili wenye nia waingie na kufanya kazi na Simba
raha sana simba akikatwa mkiaAnataka aitie timu mfukoni iwe mali yake,timu ambayo ilikuwepo miaka nenda miaka rudi.
Umasikini ni mbaya!!.. Kwahiyo yeye kuwekeza Simba imekua Nongwa!!!..Thubutuu Atoke aache aache pesa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Keshaandaa mazingira na sasa kaacha watu wake huyu Moo
View attachment 1956962
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Yeye bado ni mwekezaji bado ana maamuzi huyu Try Again alikua Chini yake!!..Keshagundua watanzania ni wakimya ila sio wajinga
Kaamua kuwa kama billionaire hataki shombo zenu sasa muuanze kumkaanga Try Again!!...Sure ana mihemko ka si mwanaume bana hata tofauti na Manara tu kwa uswahili uswahili ingawa kakulia ushuani.
Anasusa susa kama demu anataka kupapaswa kotramoo kama demu mambo ya kususa susa
Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?Yeye bado ni mwekezaji bado ana maamuzi huyu Try Again alikua Chini yake!!..
Yani nimegundua watanzania wengi hatupendi maendeleo!!..Mo kaamua kumpa Try Again majukumu kamili watu hawakutaka Try Again apate ulaji?!!..Mo kaamua ajikite kwenye biashara zake zaidi,watu hawataki afanye biashara!!..Watu hawataki Mo aendelee kuwekeza kwenye Mpira!!??..Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
na badooouamuzi ulipitisha tarehe 21 hizo mechi zilikuwa zishachezwa zaidi ya mazembe? kwani uwekezaji kaachia? akishika madaraka ya mwenyekiti wa bodi maneno akiachia maneno, jamani.Kwanza Try again ni kiongozi mzuri sana sana tu
ngoma inayopigwa sana lzma ipasuke tuuKashaona aibu zimezidi sasa Simba tunafanya vibaya anajifanya kukwepa fedhea
Aibu ipi?!!..Kwani kachukua fedha zake?!!..Yeye ni Mwekezaji na Mwanachama!!..Kashaona aibu zimezidi sasa Simba tunafanya vibaya anajifanya kukwepa fedhea
kweli wewe mchambuzikumbe ile MO29 ni tarehe yake ya kujiuzulu.