Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Kama ni Kikao Cha bodi kiliketi, Kwa nn aseme Natumia fursa Hii Kumteua Salim Try Again Kuwa Mwenyekiti Wa bodi ya SSC Kwa maneno Haya Hiyo Bodi ya SSC haijamteua Salim Bali Salim Kateuliwa na Kemcho.

Au Kemcho anaona Kama Hatuelewi
Screenshot_20210929-122008.jpg
 
Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
Huo muongozo upo kwenye makaratasi tu, ila Mo alikuwa kila kitu, mwenyekiti, mhasibu, msemaji mpaka discipline master.
 
Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
Watu wagumu kuelewa ,inshort hamna kilichobadilika Simba
 
Yani nimegundua watanzania wengi hatupendi maendeleo!!..Mo kaamua kumpa Try Again majukumu kamili watu hawakutaka Try Again apate ulaji?!!..Mo kaamua ajikite kwenye biashara zake zaidi,watu hawataki afanye biashara!!..Watu hawataki Mo aendelee kuwekeza kwenye Mpira!!??..
Technically iko hivi, kwa Simba tayari Mo ana asilimia 49 ya hisa. Kwa sababu moja au nyingine ameamua kupunguza maslahi kutoka senior team ndio maana akasema anahamia kwenye soka la vijana. Hata hivyo anabakia kuwa mjumbe wa bodi na mwenyekiti wa bodi ni mtu wake hivyo maslahi yake bado yapo salama.
 
nilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi mnzuri,anaingiliawachezaji,anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi
Apa mbona umeongea kinafik kama tatzo moo ayo unayomshutumu na yeye ameshaachia iyo nafas kwann useme simba wajiandae kuanguka ,au ktk uongoz wake simba walianguka nin kwa soka ndan na nje
 
FCC walisha toa condition Mo hawezi kuwa Mwenyekiti ya Bodi na akawa Muwekezaji hapo Kuna ukinzani ili kuweka Mambo sawa Inatakiwa aweze kustep down Uwenyekiti wa Bodi ili mambo ya uwekezaji ndani ya simba yasiwe na conflict of interest na Simba walichofanya ni kufuata condition ya FCC ili kukamilisha mchakato wao.

Na sio sababu ya kusafiri sana aliyoisema yeye na labda nikupe za ndani kabisa ilikuwa ngumu sana yeye kuachia hiyo nafasi ya uenyekiti wa bodi ya wakarugenzi ila conditions za FCC ndo zinambana sana
 
Apa mbona umeongea kinafik kama tatzo moo ayo unayomshutumu na yeye ameshaachia iyo nafas kwann useme simba wajiandae kuanguka ,au ktk uongoz wake simba walianguka nin kwa soka ndan na nje
mbona kama unalia aliyekuchapa huku jamii ni nani tu mshitaki
 
Back
Top Bottom