Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Ndio kaamteua yeye ulikua unatakaje?!!..Kama ni Kikao Cha bodi kiliketi, Kwa nn aseme Natumia fursa Hii Kumteua Salim Try Again Kuwa Mwenyekiti Wa bodi ya SSC Kwa maneno Haya Hiyo Bodi ya SSC haijamteua Salim Bali Salim Kateuliwa na Kemcho.
Au Kemcho anaona Kama Hatuelewi View attachment 1956988
Jamaa kakupendelea. Mimi nimeona ume sound kama mama J akiwa kashika lol popNyooko
Huo muongozo upo kwenye makaratasi tu, ila Mo alikuwa kila kitu, mwenyekiti, mhasibu, msemaji mpaka discipline master.Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
siaseme tu nimeachana na simba anzungu zunguka tuKama ni Kikao Cha bodi kiliketi, Kwa nn aseme Natumia fursa Hii Kumteua Salim Try Again Kuwa Mwenyekiti Wa bodi ya SSC Kwa maneno Haya Hiyo Bodi ya SSC haijamteua Salim Bali Salim Kateuliwa na Kemcho.
Au Kemcho anaona Kama Hatuelewi View attachment 1956988
Watu wagumu kuelewa ,inshort hamna kilichobadilika SimbaBro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
jamaaa lioga sanaMo apendi ushindani,na ndio maana walimfanyia figisu manji ili awe free pale mkiani,now GSM anaenda nae bampa to bampa hapo baada ya figisu kibao kushindwa kumtoa ndio hivyo anawaachia manyoya mikia taratibu
Technically iko hivi, kwa Simba tayari Mo ana asilimia 49 ya hisa. Kwa sababu moja au nyingine ameamua kupunguza maslahi kutoka senior team ndio maana akasema anahamia kwenye soka la vijana. Hata hivyo anabakia kuwa mjumbe wa bodi na mwenyekiti wa bodi ni mtu wake hivyo maslahi yake bado yapo salama.Yani nimegundua watanzania wengi hatupendi maendeleo!!..Mo kaamua kumpa Try Again majukumu kamili watu hawakutaka Try Again apate ulaji?!!..Mo kaamua ajikite kwenye biashara zake zaidi,watu hawataki afanye biashara!!..Watu hawataki Mo aendelee kuwekeza kwenye Mpira!!??..
wewe kimebadilika subiri uone hayo mabadiliko,kama hayo ya uwenyekitiWatu wagumu kuelewa ,inshort hamna kilichobadilika Simba
Ndio tunasema club inaendeshwa kama SACCOSNdio kaamteua yeye ulikua unatakaje?!!..
Mbona unaforce sanawewe kimebadilika subiri uone hayo mabadiliko,kama hayo ya uwenyekiti
Apa mbona umeongea kinafik kama tatzo moo ayo unayomshutumu na yeye ameshaachia iyo nafas kwann useme simba wajiandae kuanguka ,au ktk uongoz wake simba walianguka nin kwa soka ndan na njenilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi mnzuri,anaingiliawachezaji,anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi
Saccos ni biashara kubwa ya fedha Ndugu nimefurahi kama Simba inaendeshwa kama taasisi kubwa ya fedhaNdio tunasema club inaendeshwa kama SACCOS
Kuna mabadiliko kwenye uongozi ila siyo shareholding.Watu wagumu kuelewa ,inshort hamna kilichobadilika Simba
Anahitaji amani ya moyo na wewe unamnyima mkubalie mazeeMbona unaforce sana
Unajua uongozi wa SACCOS unavyopatikana, pia jua kuwa SACCOS nyingi ni vikundi na sio taasisiSaccos ni biashara kubwa ya fedha Ndugu nimefurahi kama Simba inaendeshwa kama taasisi kubwa ya fedha
mbona kama unalia aliyekuchapa huku jamii ni nani tu mshitakiApa mbona umeongea kinafik kama tatzo moo ayo unayomshutumu na yeye ameshaachia iyo nafas kwann useme simba wajiandae kuanguka ,au ktk uongoz wake simba walianguka nin kwa soka ndan na nje