Ndio timu yangu ya Simba tumeanzisha!Ushawapi wapi kuona popote Duniani company au shirika lenye muundo wa Bodi Mwenyekiti wa Bodi anapotoka au kujiuzulu yeye mwenyewe ndio anachagua au kuteua mwenyekiti mpya wa Bodi?
tatizo anashepuAnasusa susa kama demu anataka kupapaswa kotra
Aiseeeekumbe ile MO29 ni tarehe yake ya kujiuzulu.
kamshika babraKajamaa kalikua kana taka kashike kila kitu hadi ukocha wa magoal kipa
jamaaa lioga sana
utopwinyo niliwahi ona mkuu, itabidi mtusaidie hapo vyura vyurani mna akili sana nyie jamaa..sasa unaonaje mkakate rufaa serikalini kama katiba ya simba imevunjwa? atleast wewe kwenye uzi huu kidooogo nimeona mwana utopolo mwenye akili uliyejua Try again kawa mwenyekiti wa bodi vyura wenzako hawaelewi hata kinachoendeleaUshawapi wapi kuona popote Duniani company au shirika lenye muundo wa Bodi Mwenyekiti wa Bodi anapotoka au kujiuzulu yeye mwenyewe ndio anachagua au kuteua mwenyekiti mpya wa Bodi?
Mkuu, wakati anajipa vyeo vyote Simba Kama kampuni walikuwa wapi, hawakuliona Hilo, au kale kamsemo ka Aden Rage kuwa wengi Ni mbumbumbu[emoji848]FCC walisha toa condition Mo hawezi kuwa Mwenyekiti ya Bodi na akawa Muwekezaji hapo Kuna ukinzani ili kuweka Mambo sawa Inatakiwa aweze kustep down Uwenyekiti wa Bodi ili mambo ya uwekezaji ndani ya simba yasiwe na conflict of interest na Simba walichofanya ni kufuata condition ya FCC ili kukamilisha mchakato wao.
Na sio sababu ya kusafiri sana aliyoisema yeye na labda nikupe za ndani kabisa ilikuwa ngumu sana yeye kuachia hiyo nafasi ya uenyekiti wa bodi ya wakarugenzi ila conditions za FCC ndo zinambana sana
we utopolo tuliaUko sahihi mwanaume anasusa Susa nini, mara mabifu ya wachezaji anawauza Hadi kuathiri team, Bora aondoke tu ikiwezekana Simba ilikuwepo kabla yake na itaendelea kuwepo aanzishe tu team yake mpya bana, mambo yake ya ajabu yanaathiri team
Na kamchepuko kake kanabakia kuwa CEO au nako kanakula rapa?View attachment 1956950
Mwamedi anataka kubembelezwa na Mikia ndiyo maana ana drama nyingi
Kale ka wimbo ka Kekundu,kukundu ,kekunduuuu,kekunduuuu hapo Magori na Kaduguda wanatia besi ,,Kekunduuuuuuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kalikuwa kanashika mpaka Ma AshakumuKajamaa kalikua kana taka kashike kila kitu hadi ukocha wa magoal kipa
ngoja utasikia mtoeni babraNa kamchepuko kake kanabakia kuwa CEO au nako kanakula rapa?
Kale ka wimbo ka Kekundu,kukundu ,kekunduuuu,kekunduuuu hapo Magori na Kaduguda wanatia besi ,,Kekunduuuuuuu
MO dewji anapenda sana yeye kuwa centre ya kila kitu pale simba na chakushangaza zaidi yeye ana asilimia ndogo za Umiliki ila kila maamuzi ya timu yanatoka kwake tofauti na wanachama wenye hisa nyingiMkuu, wakati anajipa vyeo vyote Simba Kama kampuni walikuwa wapi, hawakuliona Hilo, au kale kamsemo ka Aden Rage kuwa wengi Ni mbumbumbu[emoji848]
Kichwani umejaza kamasi, SACCOS zip nyingine sana mpaka ambazo ni ndogo kabisa, huu unatumia humu kubishana ungeutumia hata kujifunza matumizi ya herefi kubwa na ndogo.Wewe Ndugu yangu huna akili kabisa!!..Usalama saccos,Ngome saccos,Bandari Saccos,Mapato Saccos au umeongelea kitu hujui
Kwa raha zako,mkuuHahahahaa nimecheka sanaaaa