Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Ushawapi wapi kuona popote Duniani company au shirika lenye muundo wa Bodi Mwenyekiti wa Bodi anapotoka au kujiuzulu yeye mwenyewe ndio anachagua au kuteua mwenyekiti mpya wa Bodi?
utopwinyo niliwahi ona mkuu, itabidi mtusaidie hapo vyura vyurani mna akili sana nyie jamaa..sasa unaonaje mkakate rufaa serikalini kama katiba ya simba imevunjwa? atleast wewe kwenye uzi huu kidooogo nimeona mwana utopolo mwenye akili uliyejua Try again kawa mwenyekiti wa bodi vyura wenzako hawaelewi hata kinachoendelea
 
FCC walisha toa condition Mo hawezi kuwa Mwenyekiti ya Bodi na akawa Muwekezaji hapo Kuna ukinzani ili kuweka Mambo sawa Inatakiwa aweze kustep down Uwenyekiti wa Bodi ili mambo ya uwekezaji ndani ya simba yasiwe na conflict of interest na Simba walichofanya ni kufuata condition ya FCC ili kukamilisha mchakato wao.

Na sio sababu ya kusafiri sana aliyoisema yeye na labda nikupe za ndani kabisa ilikuwa ngumu sana yeye kuachia hiyo nafasi ya uenyekiti wa bodi ya wakarugenzi ila conditions za FCC ndo zinambana sana
Mkuu, wakati anajipa vyeo vyote Simba Kama kampuni walikuwa wapi, hawakuliona Hilo, au kale kamsemo ka Aden Rage kuwa wengi Ni mbumbumbu[emoji848]
 
Ila boss Wang huyu nae anapenda ku trend Hiv kwa situations club inavopitia alafu anakuja kusepa upuuz huu inawezakana n kweli ameona ametingwa na majukumu yake pia ishuu ya FCC kwa kuondoa tension kwa nn asinge step kimya kimya tu
 
Uko sahihi mwanaume anasusa Susa nini, mara mabifu ya wachezaji anawauza Hadi kuathiri team, Bora aondoke tu ikiwezekana Simba ilikuwepo kabla yake na itaendelea kuwepo aanzishe tu team yake mpya bana, mambo yake ya ajabu yanaathiri team
we utopolo tulia
 
Mkuu, wakati anajipa vyeo vyote Simba Kama kampuni walikuwa wapi, hawakuliona Hilo, au kale kamsemo ka Aden Rage kuwa wengi Ni mbumbumbu[emoji848]
MO dewji anapenda sana yeye kuwa centre ya kila kitu pale simba na chakushangaza zaidi yeye ana asilimia ndogo za Umiliki ila kila maamuzi ya timu yanatoka kwake tofauti na wanachama wenye hisa nyingi
 
Back
Top Bottom