Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Hivi karibuni tajiri Mohammed Dewji alipost kupitia twitter yake kuonesha cheki ya Tshs Billion 20 kuikabidhi klabu ya Simba ikiwa ni malipo ya ununuzi wa hisa za Klabu hiyo kongwe nchini. Ikumbukwe cheki hiyo imekuja baada ya watani wa jadi wa Simba, klabu ya Yanga kuingia mkataba mnono na kituo cha AZAM.

Cheki hiyo inaonesha kasoro zifuatazo.

1.
Hakuna jina la benki wala akaunti ya mlipaji

2.
Hakuna jina la benki wala akaunti ya Klabu ya Simba

3.
Kwenye eneo la mpokeaji hakuna saini kuthibitisha kupokea kitita hiko. Lakini upande wa MO kuna saini

Nimeweka picha ya cheki hiyo ili Thinkers wa JF muweze kuzoom wenyewe na kuona hizo dosari.

Soka letu linaweza kufika mbali sana iwapo wajanja wajanja wakabainishwa na kuwekwa pembeni. Tunahitaji mabadiliko na mipango endelevu kwa ajili ya soka letu... Dewji akikabidhi cheki

 
Ilipaswa iwe kama hii ambayo ni sahihi siyo?

 
Malizia uzi wako basi utuonyeshe cheki inavyokua
 
Kikubwa naww umeanzisha Uzi Tu au sio kamanda? Hebu tuletee mfano wa hundi ambayo inakuwa inaonesha inaenda benki gani tunasubiri hapa tukisindikiza na hizi zingine uje kuzitolea ufanunuzi vipi na hawa wamepigwa View attachment 1879711
 
Acha uzezeta, kama hujui mambo ya check uliza sio mbaya kujua
 
Ujinga ni mzigo.
 
Huo ni mfano wa cheki wewe kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…