Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilifikiri thamani ya klabu imepanda, tangu kipindi kile bado ni hiyohiyo?Kazi imeisha, utopolo na mawakala wao kina Kitenge sijui watakuja na umbea gani mwingine.
Waliosaini mkataba mwanzo ndio waliingizwa chaka, lakini pia tukumbuke naye ni sehemu ya kuipandisha thamani ya klabu kwa mafanikio Simba SC iliyoyapata hasa klabu bingwa Afrika kulingana na uwekezaji wake alioufanya, ashukuriwe pia.Mimi nilifikiri thamani ya klabu imepanda, tangu kipindi kile bado ni hiyohiyo?
Mfano Azam wakimwaga Bilioni 50 pale simba. Yeye anavuta Bilioni 24.5HIVI YEYE ANAPATAJE FAIDA....??.View attachment 1873894
Mo kaweka Bil 20 wewe unaweka mwiko kwenye makalio. Ndo tofaut ipo hapo.Waliokuwa vikwazo wote wameshaondoka sasa atafanya lolote atakalo.
Mo Fc
Tayari. Haya wale vibwengo wa Utopolo leteni umbea mwingine.Aweke hela maana tayari matunda tunayaona
Thamani ya klabu imepandishwa na nini?Kwahiyo thamani ya klabu ya simba bado ni bilioni 20?
Mimi nafikiri thamani ya klabu imepanda tayari, na je, ni nani aliyefanya tathmini ya klabu ya simba na kusema ni hiyo bilioni 20
Wako wanauza sura tu kwa mabeberu na kuinadi chanjoUpdates
Baada ya MO Dewj kuweka 20B kina Kitenge, Kigwangalla, Oscar na genge lao la Utopolo sijui wataweka wapi sura zao.
Hahaha tusubiri tuone klabu ya Yanga watatangaza klabu yao ina thamani gani baada ya mchakato wa mabadiliko kukamilikaNimesema thamani ya timu lenu Utopolo fc haiwezi kufika B5 ..
Kampuni zake bado zipo watakaa waongeeHivi huu mkataba unasemaje siku MO akifa?
Hesabu za kitopolo hizo.Mfano Azam wakimwaga Bilioni 50 pale simba. Yeye anavuta Bilioni 24.5
Simba ni kubwa kuliko Mo dewji na yy hilo kalisema leo, hivyo basi Ushawahi kujiuliza yeye anapataje Faida pale simba, wakati kila siku analalamika amewekeza pesa nyingi mpk sasa.Waliosaini mkataba mwanzo ndio waliingizwa chaka, lakini pia tukumbuke naye ni sehemu ya kuipandisha thamani ya klabu kwa mafanikio Simba SC iliyoyapata hasa klabu bingwa Afrika kulingana na uwekezaji wake alioufanya, ashukuriwe pia.
Simba ni kubwa kuliko Mo dewji na yy hilo kalisema leo, hivyo basi Ushawahi kujiuliza yeye anapataje Faida pale simba, wakati kila siku analalamika amewekeza pesa nyingi mpk sasa.Waliosaini mkataba mwanzo ndio waliingizwa chaka, lakini pia tukumbuke naye ni sehemu ya kuipandisha thamani ya klabu kwa mafanikio Simba SC iliyoyapata hasa klabu bingwa Afrika kulingana na uwekezaji wake alioufanya, ashukuriwe pia.
Huu mkataba ni kati ya MO na Simba mkuuKampuni zake bado zipo watakaa waongee
Haji ndio alikuwa kikwazo??Waliokuwa vikwazo wote wameshaondoka sasa atafanya lolote atakalo.
Mo Fc
Huoni kelele zao zimezaa matunda? Watatoka hadharani kifua wazi kuwa wao ndio wamefanikisha hiloUpdates
Baada ya MO Dewj kuweka 20B kina Kitenge, Kigwangalla, Oscar na genge lao la Utopolo sijui wataweka wapi sura zao.