barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wanataka wazione cahs sio mambo ya cheque...ππππVipi uto bado mnahoja?
Billion 20 inawekwa mbele ya mwenyekiti na mdhamini wa club
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka wazione cahs sio mambo ya cheque...ππππVipi uto bado mnahoja?
Billion 20 inawekwa mbele ya mwenyekiti na mdhamini wa club
UkichukuaThamani ya klabu imepandishwa na nini?
kwani ameinunua club mzee ,mbona kichwa kigumuKwahiyo thamani ya klabu ya simba bado ni bilioni 20?
Mimi nafikiri thamani ya klabu imepanda tayari, na je, ni nani aliyefanya tathmini ya klabu ya simba na kusema ni hiyo bilioni 20
Sisi wawekezaji ni wengi tofauti tofauti..Thamani ya klabu ya simba ni Bilioni 20. Ngoja tusubiri thamani ya klabu ya Yanga itakuwa ni kiasi gani?
Huyo Kigwangala na Oscar ndio hopeless kabisa.Updates
Baada ya MO Dewj kuweka 20B kina Kitenge, Kigwangalla, Oscar na genge lao la Utopolo sijui wataweka wapi sura zao.
Kwani asilimia 49 ya 50 ni ngapi? We kimaHesabu za kitopolo hizo.
Mimi ni mjumbe katika wajumbeMbona kama una hasira kali sana..
Mikia mmeibiwa, mnachekelea......yaani Simba inathamani ndogo kiasi hicho? Yaani 20B kwa maisha yote? Kumbukeni siyo miaka kadhaa, anywei ngoja tuwaache Mwamedi fcVipi uto bado mnahoja?
Billion 20 inawekwa mbele ya mwenyekiti na mdhamini wa club
Yaani MO kaokota dodo Simba, Kwasasa Kama kaweka 20b Ina maana waki iingia mkataba na Azam au mdhamini yoyote ana haki ya kugawana kinacho ingia na Klabu ya Simba. Ndio maana aligomea mkataba wa Azam ili avute muda kwakua alikua hajaweka mzigo 20 b ingekua ngumu yeye kugawana faida ya udhamin wa Azam na Klabu ya Simba.
Maana wenye akili wange piga kelele.
Yaah ndo maana Yanga kwa kuliona hilo katiba yetu inasema hizo hisa 49% wawekezaji waanzie wawili na wasiozidi wanneSisi wawekezaji ni wengi tofauti tofauti..
Kwahiyo thamani ya klabu ya simba bado ni bilioni 20?
Mimi nafikiri thamani ya klabu imepanda tayari, na je, ni nani aliyefanya tathmini ya klabu ya simba na kusema ni hiyo bilioni 20
Aweke mara ngapi...!!!
Wakati katamka wazi kabisa kwamba katika kipindi cha miaka minne amesha tumia billion 21 katika uendeshaji wa club kama Mishahara, posho, nauli, kambi na mengineyo.
Halafu bado mnaulizia billion 20????
Hata hizo bilioni 20 ni ndogo kwa hisa za 49%,Mkitaka kulijua hilo subirini mchakato wa yanga utakapo kamilika ndo utajua hujuiYaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Waliokuwa vikwazo wote wameshaondoka sasa atafanya lolote atakalo.
Mo Fc
MO amewahi kuziweka bilioni 20 mapema kwasababu tulikuwa na mpango wa kuchukua Bilion 20 za Azam tuje kuinunua simba kwanza, bahati yake kawahi kablaKwani huu mchakato umeanza mwaka huu? Au hujui kuwa huu mchakazo wa uwekezaji ulipoanza Simba haikuwa hii ya sasahivi? Hela iliyotolewa ni kwa yale makubaliano ya Awali ambayo walikwisha kukubaliana.
Thamani ya simba ni kama 41BYaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Unajua kua iyo 20 Haina kikomo, ndio mtaji wa MO kwa miaka yote.Wanao umia ni Yanga