Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Yaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Tupe thamani kamili za hizo 51%
 
20 Bil ni fedha za mtaji wa uwekezaji.

Inamaana kila mwaka wanachama watakuwa wanapata gawio la faida. Mo atapata gawio la 49% na wanachama watalamba 51%

Kwakuwa hakuna limit ya muda wa uwekezaji inamaana Mo na Familia yake watanufaika zaidi.
Jambo zuri ni timu itakuwa na elements za kitajiri.
 
Kipindi ambacho MO katangaza kuweka dau la B20 aliikuta simba ikiwa na thamani ya bei gani?Na mlikua wapi kusema hiyo pesa ndogo badala yake tuliwaona mkimkomalia aitoe kwakumaanisha kua ni ahadi feki mlisema hivyo kwasababu pesa mliiona nyingi sio?


Au ni kwasababu hiyo thamani mnayoiona leo imetokana na efforts zake baada ya yeye kuingia mkataba na simba?

Au ni kwasababu majirani wamepata shavu lenye mtonyo mkubwa kiasi cha kupata wivu? Kwa maana hiyo mtani asingepata zari la kupewa pesa hiyo thamani ya simba ilikua ina worth B20?
 
20 Bil ni fedha za mtaji wa uwekezaji.

Inamaana kila mwaka wanachama watakuwa wanapata gawio la faida. Mo atapata gawio la 49% na wanachama watalamba 51%

Kwakuwa hakuna limit ya muda wa uwekezaji inamaana Mo na Familia yake watanufaika zaidi.
Jambo zuri ni timu itakuwa na elements za kitajiri.

Wewe kwa uendeshaji wa klabu unavyouona, Simba inatengeneza faida kwa Mwaka?

Umemsikia Mudi kuwa Miaka minne kaweka 21B, Je Simba imerudisha hizo hela na kuleta faida?
 
Mikia mmeibiwa, mnachekelea......yaani Simba inathamani ndogo kiasi hicho? Yaani 20B kwa maisha yote? Kumbukeni siyo miaka kadhaa, anywei ngoja tuwaache Mwamedi fc
hata kama una elimu ya kuunga unga jitahidi uwe unatafakari kwanza, 20B ni thamani 49% plus 51% za wanachama.
 
Wewe kwa uendeshaji wa klabu unavyouona, Simba inatengeneza faida kwa Mwaka?

Umemsikia Mudi kuwa Miaka minne kaweka 21B, Je Simba imerudisha hizo hela na kuleta faida?
Kama mo anatoa bl 5 kwa mwaka ,ela zingine zinaenda wap ,mfano za azam sporpesa ,jez ina maana hii simba haiingiz ktu ad mo kila mwaka atoe karbu bl 5,wanapokua wanaongea vikao vyao hawavikilii kama hiz taarifa wanawapa watu wengine wataoj zaid
 
Kwahiyo thamani ya klabu ya simba bado ni bilioni 20?
Mimi nafikiri thamani ya klabu imepanda tayari, na je, ni nani aliyefanya tathmini ya klabu ya simba na kusema ni hiyo bilioni 20
Unafahamu maana ya mkataba kweli?
 
Kama mo anatoa bl 5 kwa mwaka ,ela zingine zinaenda wap ,mfano za azam sporpesa ,jez ina maana hii simba haiingiz ktu ad mo kila mwaka atoe karbu bl 5,wanapokua wanaongea vikao vyao hawavikilii kama hiz taarifa wanawapa watu wengine wataoj zaid
Pesa za wadhamini mpaka sasa sidhani kama zinatosha kuiendesha simba
 
Yaani MO kaokota dodo Simba, Kwasasa Kama kaweka 20b Ina maana waki iingia mkataba na Azam au mdhamini yoyote ana haki ya kugawana kinacho ingia na Klabu ya Simba. Ndio maana aligomea mkataba wa Azam ili avute muda kwakua alikua hajaweka mzigo 20 b ingekua ngumu yeye kugawana faida ya udhamin wa Azam na Klabu ya Simba.
Maana wenye akili wange piga kelele.
We unaingiaje mkataba na Azma ambao wanatoa pesa sawa na utopolo?hata kwa fimbo za uchi hatuwezi kukubali, ukubwa wasimba ulingane na udhamin wa utopolo hao Azam waendelee kuwadhamin nyinyi leta mpungu wa kutosha mezan ,Simba ipo club bingwa ,iko Africa super lig mitandaon INA wafuasi wa kutosha then ulete pesa za mbonga hawa Azam wawekeze huko huko utopolon ndo kunawafaa na mnaendana
 
We unaingiaje mkataba na Azma ambao wanatoa pesa sawa na utopolo?hata kwa fimbo za uchi hatuwezi kukubali, ukubwa wasimba ulingane na udhamin wa utopolo hao Azam waendelee kuwadhamin nyinyi leta mpungu wa kutosha mezan ,Simba ipo club bingwa ,iko Africa super lig mitandaon INA wafuasi wa kutosha then ulete pesa za mbonga hawa Azam wawekeze huko huko utopolon ndo kunawafaa na mnaendana

40B ya Azam kwa Miaka 10 au
20B za mWAMEDI kwa maisha yote.
Ipi ya Mboga mkuu ?
 
40B ya Azam kwa Miaka 10 au
20B za mWAMEDI kwa maisha yote.
Ipi ya Mboga mkuu ?
Tatizo uto akili mnaweke kwenye kinyeo izo b40 hiziwekwi kwa mkupuo kila mwaka kunakiasi mtakua mnapata ila huku simba Izo B20 zinaweka kwa mkupuo utofauti uko hapo tatizo mnashadadia vitu bila kujua ,,,,na kwenye huo mkata wa Azam uto mtakua mpata 400M kama sijakosea kwa mwezi kwa kipind cha miaka 10
 
40B ya Azam kwa Miaka 10 au
20B za mWAMEDI kwa maisha yote.
Ipi ya Mboga mkuu ?
Nukuongezee kitu pia,,,

Yaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
 
We unaingiaje mkataba na Azma ambao wanatoa pesa sawa na utopolo?hata kwa fimbo za uchi hatuwezi kukubali, ukubwa wasimba ulingane na udhamin wa utopolo hao Azam waendelee kuwadhamin nyinyi leta mpungu wa kutosha mezan ,Simba ipo club bingwa ,iko Africa super lig mitandaon INA wafuasi wa kutosha then ulete pesa za mbonga hawa Azam wawekeze huko huko utopolon ndo kunawafaa na mnaendana
Zipo njia nzur za kutumia ambazo viongoz wa simba na azam wakikaa chin watafka muafaka mzur ila hiz za kuanza kuwakejel wenzao au kusema hatulingan sio nzur ni kama vile kuna kibr na zalau ata kama azam alikua na nia ya kuongeza ela wasitumie njia hiz za mitandaon hao viongoz wa simba
 
Hivi huu mkataba unasemaje siku MO akifa?
Ndio maana huwa napambana niagane na umasikini. Umasikini mbaya sana coz unafikiri mtu kama mo anaingia mkataba wa kijinga bila ya kujua kunasiku atakufa na baada ya kufa nani ataendeleza gurudumu
 
Back
Top Bottom