Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wanaumia sana,aliyewawekea mwiko nyuma yao akautoe unawaumiza.Wanao umia ni Yanga
Nukuongezee kitu pia,,,
Yaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Labda tunaamini hawezi kufa ndio tumeingia huo mkataba!Hivi huu mkataba unasemaje siku MO akifa?
Unaumia ukiwa wapi?ebu tunaomba TAKUKURU wafanye ukaguzi wa hizo bil21 anazo sema ametumia kwa ajili ya simba kwa miaka4, for sure sehem kubwa ya hizo noti zilitumika kuhonga marefa na kununua tim pinzan kwa nia mbaya kabisaa!
Unajua namna dividend inavyopatikana kwa wanahisa ?Kwani asilimia 49 ya 50 ni ngapi? We kima
Ajabu ni kwamba wanaoumia MO kutoa hzo B20 ni utopolo wala siyo mashabiki wa SimbaYaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Tajiri gani kutoka duniani kaja kuwekeza Africa ?Mo kawapiga Simba pakubwa....
watu hawajui trend ya dunia ilivyo kwa sasa,
matajiri wengi wanaanza kuja kuwekeza timu za Africa.......
Mo kawahi mapema na ki B20
We nae unakichwa kigum hao GSM watachukua hisa yanga unajua watazinunua kwa shingap?? Mchakato wa simba umeanza kufanyiwa kazi miaka4 iliyo pita ambayo hata FCC wenyewe walikua wanamtaka Mo aweke 19.6b ndio makubaliano we umekuja kuona mafanikio ya simba sasa ivi then ndo unahoji ukubwa wa simba kwamba thaman Yake sio hiyo iyo miaka 4 unajua Simba nilikua kwenye hal gan? Ndan ya miaka 4 ametumi kiasi cha 21b plus na hiyo 20b aliyo weka ,,,wewe unaona simba imekua kubwa hivi karb basi unahisi miaka ya nyuma ilikua hivo mchakato umeenza mda that y FCC wametoa hisa ya thaman hiyoHesabu Nyepesi.. Hisa ni vipande ambavyo vina thamani sawa.
49%= 20B
51%= ?
?= (51X20)/49 = 20.8 B
Kwa hiyo thamani ya Simba Sc ni 40.8 B??????? .... Serious
Soma: Klabu ya Yanga imeingia Mkataba wa miaka 10 na Azam Media wa haki za matangazo za Klabu kupitia Yanga TV wenye thamani ya Bilioni 41.64
Thamani ya MKATABA WA KUNUNUA Simba maisha inapitwa na thamani ya Mkataba wa Yanga TV (Miaka kumi)
Miaka nne ya ubingwa alitumia bil karibia 2440B ya Azam kwa Miaka 10 au
20B za mWAMEDI kwa maisha yote.
Ipi ya Mboga mkuu ?
Biashara zote huanza kwa matumizi kwanza, faida hupatikana baadae.Wewe kwa uendeshaji wa klabu unavyouona, Simba inatengeneza faida kwa Mwaka?
Umemsikia Mudi kuwa Miaka minne kaweka 21B, Je Simba imerudisha hizo hela na kuleta faida?
.Tena wanaumia sana,aliyewawekea mwiko nyuma yao akautoe unawaumiza.
Simba wanahitaji ukaguzi Maalumu ndani ya club yao maana mahesabu yao hayapo sawa.Simba ni kubwa kuliko Mo dewji na yy hilo kalisema leo, hivyo basi Ushawahi kujiuliza yeye anapataje Faida pale simba, wakati kila siku analalamika amewekeza pesa nyingi mpk sasa.
Kwahiyo thamani ya simba ni billion 41?Yaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi