Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Kwa hiyo Mo anamiliki 100% siyo?Thamani ya klabu ya simba ni Bilioni 20. Ngoja tusubiri thamani ya klabu ya Yanga itakuwa ni kiasi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Mo anamiliki 100% siyo?Thamani ya klabu ya simba ni Bilioni 20. Ngoja tusubiri thamani ya klabu ya Yanga itakuwa ni kiasi gani?
Mikia mmeibiwa, mnachekelea......yaani Simba inathamani ndogo kiasi hicho? Yaani 20B kwa maisha yote? Kumbukeni siyo miaka kadhaa, anywei ngoja tuwaache Mwamedi fc
Simba hatuna akili za kinyani kama wewe, hata wa drsa la saba anaelewa, kua B 20 ni thamani ya hisa 49% na thamani ya simba ni uchukue B20 ujumlishe Zitakazo patikana kwenye hisa 51% zilizobaki. Acha ujingaMikia mmeibiwa, mnachekelea......yaani Simba inathamani ndogo kiasi hicho? Yaani 20B kwa maisha yote? Kumbukeni siyo miaka kadhaa, anywei ngoja tuwaache Mwamedi fc
Wabongo mdomo mwingi mbele giza,mwambie akanunie 51%Kwa hiyo Mo anamiliki 100% siyo?
Sidhani hata kama inafika B5 ..
Yaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesiWaliosaini mkataba mwanzo ndio waliingizwa chaka, lakini pia tukumbuke naye ni sehemu ya kuipandisha thamani ya klabu kwa mafanikio Simba SC iliyoyapata hasa klabu bingwa Afrika kulingana na uwekezaji wake alioufanya, ashukuriwe pia.
Naona Manara nae kapewa dongo lake.Sasa hizo bil 21.8 aliyo itoa kwa miaka minne, kaikata humo humo kwenye bil 20 alizotoa leo, kimahesabu MO anaidai Simba au......... tufafanulieni kidogo.Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika- Mo - "Time ya Ushindani (FCC) imeshatupa ruhusa, hivyo mchakato wa mabadiliko ya Simba umekamilika, tumepewa vipengele vichache vya kufanyia kazi kama kutoa fedha," - Mohammed Dewji.
====
MWENYEKITI wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa Julai 30, 2021 amekabidhi kitita cha Sh20 Bilion za uwekezaji wa Simba.
Amesema hanunui hisa asilimia 49 kwa pesa hiyo bali 43 Bilioni.
"Mpaka sasa nimeshalipa Simba zaidi ya Sh21 Bilioni, ukiachana na pesa nyingine za ziada za maandalizi ya msimu, usajili na nyinginezo ninazotoa”
"Mimi nimetoa jasho na machozi kwenye Simba, nimetoa muda mwingi kwa ajili ya Simba, nimepoteza fursa nyingi kwenye biashara zangu kwa ajili ya Simba."
"Sisi tumewekeza na hawezi kutokea mtu akatupa hela ya udhamini, sawa sawa na wenzangu, hili sitakubali. "
"Hakuna mtu mkubwa kuliko Simba, hii timu tumeikuta na tutaiacha, hata mimi nimeikuta."
Lakini kuna watu wanasema Mohammed Dewji hana pesa, leo hii nakabidhi cheki ya Sh 20 Bilioni," amesema.
Alitania kwamba kama akisema pesa hiyo Bilioni 20 tayari ameshaipa Simba na wamemalizana kwenye zile Bilioni 21. Mohammed Dewji amekabidhi kitita cha Sh 20 Bilion za uwekezaji wa Simba.
View attachment 1873903
=========
Ni wakati sasa wa Simba kugomea Bilioni 20 za Mo na kutaka Thamani ya Klabu iongezwe au kama kuna mwenye Mzigo zaidi Aje.
Anaonekana wzi anagomea wadhamini wengine, kiuhalisia thamani ya simba imepanda. Kama Yanga TV tu ni zaidi ya hizo Bilioni 20 tena kwa miaka kumi vipi kuhusu Brand ya Simba?
Kwa maelezo yake Bil 21 ametumia kwa miaka 4 , mbona hasemi faida aliyopata? . Kama ametumia kwa miaka 4 bil 21 , maana yake hizi 20 zitaisha baada ya Miaka 4 tena!.. Then whats next ataendelea kutoa hisani ya fedha zake? au ataanza kula matunda ya uwekezaji wake?
Anasema ahanunui hisa kwa 20B bali ni 43B, Ipo kwenye mkataba?. Je hizo alizokuwa anatoa kumbe alikuwa anazihesabu. Je zijazo atatoa au atawaambia watumie hizo 20B alizowapa?
Kwa nini Valuation ya Hisa imefanywa kiholela, Na kwa nini hakuna wawekezaji wengine waliojitokeza kupambana kwenye kupata hiyo Dili ya uwekezaji?
Ni strategy za kibiashara ambazo zitaiwezesha Simba kujiendesha na kutengeneza faida toka hizo B20 SABABU hata Mo mwenyewe anaonekana KUPOTEZA PESA katika huo udhamini kwa madai yake.
Kumbuka huu ni mchakato wa Mabadiliko ya uendeshaji wa timu, siyo mchakato wa kumpa Mo Timu. Hii Press ni ya kibabe sana. Inaonekana Simba OG ni kama wamenyongea na wanaendeshwa tu.
Shule za wanaowasikiliza ndio shida,wanakunywa wrong informationYaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
Wanagawana net profit. Kima mama yako aliyekunyima malezi bora.Kwani asilimia 49 ya 50 ni ngapi? We kima
Hawa uto huwa hawakosi kisingizio.... Wanaamini GSM wa aweka pesa nyingi kuliko Mo. Haya mo katumia 21.4 billion kwa miaka 4. Hao gsm waseme walizotWabongo mdomo mwingi mbele giza,mwambie akanunie 51%
Wamuulize GSM kwao kashatumia ngapi na ameingiza ngapiWabongo mdomo mwingi mbele giza,mwambie akanunie 51%
hESABU NYEPESI HAPO NI KAMA 43BYaani kuna kitu nasikitika ni kama either mnafanya kupotosha au kutokujua, thamani ya simba sio B20. Bilioni ishirini ni thamani ya hisa 49. Ko kujua thamani simba unatakiwa ujue hisa 51% ni tsh ngapi. Tusifanye propaganda nyepesi
kwani ameinunua club mzee ,mbona kichwa kigumu
Hawa uto huwa hawakosi kisingizio.... Wanaamini GSM wa aweka pesa nyingi kuliko Mo. Haya mo katumia 21.4 billion kwa miaka 4. Hao gsm waseme walizot
Wamuulize GSM kwao kashatumia ngapi na ameingiza ngapi
Kwa hiyo mimi mwenye hisa vodacom nimenunua voda? Stupid!UTO HAWAJAUZA TIMU MKUU
Wazee Wa Kuulia Kunguni Kichwani MO Anuke Na Simba 😂Tusubiri wazee wa kuhamisha magoli
Jiongezeni nyie Mbumbumbu,kama katumia 21Bl kwa miaka 4,je hizo 20Bl atatumia kwa miaka mingapi,then baada ya hapo itakuwaje. Na pia mbona hatoi Balance Sheet kwa hizo 21Bl jinsi zilivyotumika ikiwemo faida na hasara plus madeni.Aweke hela maana tayari matunda tunayaona
Ambapo kwetu sisi itakuwa zaidi ya hiyo hela ..Ila wana mkataba wa B40 wa miaka Kumi tu.
Pitia tena uzi wewe umeona 20b tu .Kazi imeisha, utopolo na mawakala wao kina Kitenge sijui watakuja na umbea gani mwingine.