Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Nijibu kwanza kaka kuhusu jamshidi afu tuendelee ndugu yangu


Umelikimbia swali hili huko nyuma

Sasa niambie wale waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi

Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Hakukaa siku moja naomba unipe jibu sahii kaka!!!Alikaa mda gani afu mimi nitakutajia dhulma zilizofanyika wakati wa uongozi wake kaka
 
Hakukaa siku moja naomba unipe jibu sahii kaka!!!Alikaa mda gani afu mimi nitakutajia dhulma zilizofanyika wakati wa uongozi wake kaka

Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Umelikimbia swali hili huko nyuma

Sasa niambie wale waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
Sijakimbia swali mimi ukinijibu swali langu kuhusu jamshid tutaendelea kaka
 
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Hujanipa jibu kaka!!!Nimekuuliza jamshid alikaa kwenye throne mda gani kaka???
 
Sijakimbia swali mimi ukinijibu swali langu kuhusu jamshid tutaendelea kaka


Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Hakukaa siku moja nijibu kaka na mimi nitakujibu maswali yako yoote
 
Hakukaa siku moja nijibu kaka na mimi nitakujibu maswali yako yoote

Jifunze kiswahili soma tena

Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Jifunze kiswahili soma tena

Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Hujaniambia lakini alikaa mda gani sababu hakukaa siku moja!!!Nijibu kaka tuendelee
 
Hujaniambia lakini alikaa mda gani sababu hakukaa siku moja!!!Nijibu kaka tuendelee


Jifunze kiswahili, soma tena


Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Jifunze kiswahili, soma tena


Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Ukinijibu alikaa mda gani na mimi nitakuelezea dhuluma za uongozi wake kama kibaraka wa waingereza!!Nijibu kaka alikaa mda gani????
 
Ukinijibu alikaa mda gani na mimi nitakuelezea dhuluma za uongozi wake kama kibaraka wa waingereza!!Nijibu kaka alikaa mda gani????

Jifunze kiswahili, soma tena
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Hakukaa siku moja nijibu kaka na mimi nitakujibu maswali yako yoote

Umelikimbia swali hili huko nyuma
Sasa niambie wale waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
Jifunze kiswahili, soma tena
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Kaka kama huwezi kunijibu tufunge mjadala!!!!Allah awe nawe ndugu yangu
 
Kaka kama huwezi kunijibu tufunge mjadala!!!!Allah awe nawe ndugu yangu


Jifunze kiswahili soma tena


Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Kaka kama huwezi kunijibu tufunge mjadala!!!!Allah awe nawe ndugu yangu

Umelikimbia swali hili huko nyuma

Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
Unajua nyie mnachanganya mambo. Hizo ni propaganda za waliopindua kujastify mapinduzi. Lakini ukae ukijua Sultan hakua na nguvu Zanzibar na iliopinduliwa ilikua ni serekali iliochaguliwa kidemokrasia chini ya Waziri Mkuu Shamte ambae alikua ni muafrika sio muarabu. Halafu hao waarabu mnasema makatili mliweza vipi kuwapindua bila upinzani wowote,
Kaka issue ni kwamba babu zetu walikua na hali gani mbele ya walowezi wa kireno,kiarabu,kihindi na kizungu kwa karne nyingi!!!!Na pili babu zetu kwahiyo walitudanganya kua walowezi wa kiarabu hawakua wabaguzi kwa karne nyingi????????!!!Acha unafiki acha udini kua mkweli kama msomi kaka afu nijibu na unielimishe pia msomi
 
Jifunze kiswahili soma tena


Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
Nijibu alikaa mda gani kaka??
 
Hii ishu ya zanzibar inaonekana kuna upotoshaji mwingi unaendelea.
Kuna waislam wanaopotosha kumtetea mwalabu
Kuna watanganyika wanapotosha kuitetea tanganyika
Kuna wazanzibari wanapotosha kuipondea Tanganyika
Sasa sijui ukweli uko wapi
 
Kaka issue ni kwamba babu zetu walikua na hali gani mbele ya walowezi wa kireno,kiarabu,kihindi na kizungu kwa karne nyingi!!!!Na pili babu zetu kwahiyo walitudanganya kua walowezi wa kiarabu hawakua wabaguzi kwa karne nyingi????????!!!Acha unafiki acha udini kua mkweli kama msomi kaka afu nijibu na unielimishe pia msomi

Wacha mababu mbona husemi hali tulizo nazo chini ya hawa wajiitao mabantu yaani kuuliwa , kunajisiwa kubambikiziwa makesi kutiwa vilema kila baada miaka 5 kisa tu kuwapigia kura upinzani ??
 
Back
Top Bottom