Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Umelikimbia swali hili huko nyuma

Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
Wewe muhuni kaka kumbe hata jamshidi hujui alikaa mda gani kaka???
 
Hii ishu ya zanzibar inaonekana kuna upotoshaji mwingi unaendelea.
Kuna waislam wanaopotosha kumtetea mwalabu
Kuna watanganyika wanapotosha kuitetea tanganyika
Kuna wazanzibari wanapotosha kuipondea Tanganyika
Sasa sijui ukweli uko wapi
Fact
 
Wacha mababu mbona hivi sasa husemi hali tulizo nazo kuuliwa , kunajisiwa kubambikiziwa makesi kutiwa vilema kila baada miaka 5 kisa tu kuwapigia kura upinzani ??
Tuanzie nyuma kaka!!!!Unayoyaona leo kuna mwanzo wake!!!!Tuanzie nyuma kaka tusianzie katikati
 
Wewe muhuni kaka kumbe hata jamshidi hujui alikaa mda gani kaka???

Umelikimbia swali hili huko nyuma


Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
Wacha mababu mbona husemi hali tulizo nazo chini ya hawa wajiitao mabantu yaani kuuliwa , kunajisiwa kubambikiziwa makesi kutiwa vilema kila baada miaka 5 kisa tu kuwapigia kura upinzani ??
Kaka gavana umenikimbia kaka!!!Jamshid alikaa mda gani kwenye throne kaka???
 
Umelikimbia swali hili huko nyuma


Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
Nitakujibu baada ya wewe kuniambia jamshid alikaa mda gani na mimi nikutajie dhuluma zake afu tuhamie kwa nyerere kaka!!!!Hakuna shida
 
Umelikimbia swali hili huko nyuma


Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
Na wewe umelikimbia swali langu kabla ya lako kaka
 
Nitakujibu baada ya wewe kuniambia jamshid alikaa mda gani na mimi nikutajie dhuluma zake afu tuhamie kwa nyerere kaka!!!!Hakuna shida


Mimi sijui wewe mtaalamu wa historia tuambie jemshid alimchukulia nani mali yake , alimuuwa nani wakati wa uchaguzi , alimnajisi nani ??
 
Na wewe umelikimbia swali langu kabla ya lako kaka

nilianza mimi kukuuliza au dini yako ya kiafrika inaruhusu kusema uongo ??

Umelikimbia swali hili huko nyuma


Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
nilianza mimi kukuuliza au dini yako ya kiafrika inaruhusu kusema uongo ??

Umelikimbia swali hili huko nyuma


Sasa niambie wale waafrika waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu wakoloni waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
Nijibu kwanza afu tutaendelea ndugu yangu!!!!Au hujui
 
Huwezi kukataa historia yako ya nyuma eti kisa uishi!!!Labda uwe kichaa wa akili na masikini wa fikra kaka

Mbona unakimbia kujibu swali hili

Jemshid alimuuwa nani ? nalichukuwa mali ya nanai ?+ aliununua meli ipi mtumba pesa akaziiba ?+ alijenga makasri mangapi ?
 
Mbona unakimbia kujibu swali hili

Jemshid alimuuwa nani ? nalichukuwa mali ya nanai ?+ aliununua meli ipi mtumba pesa akaziiba ?+ alijenga makasri mangapi ?
Kaka gavana ngoja mimi nikuache naenda zanzbar mda huu!!!Nikutakie siku njema ndugu yangu
 
Back
Top Bottom