Moja kati vitu vilivyonishinda

Moja kati vitu vilivyonishinda

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Ni kile kitendo cha kutokea mwanamke na kumwambia nakupenda, nimejaribu zaidi ya mwaka lakini nikubali tu kutongoza imenishinda aisee. Jumlishia pesa yenyewe ya kuunga unga! Naweza kumpenda msichana mpaka nalia lakini kumwambia nimeshindwa daa pole yangu kwa kweli.
 
Mbona signecha yako inaongea kitu tofauti?
 
kwani kila umtongozaye atakuomba hela?tafuta mwenye maisha yake mtongoze
 
Umekariri kutongoza ni kumwambia mwanamke nakupenda
kutongoza hata kumtazama tu na kutabasam inatosha
hata kumsalimia tu na kumuuliza kitu nayo ni kutongoza....

Wenzio hawasemi tena nakupenda....ni kusalimia tu na kuongea chochote kilichopo hapo
hata mpira au diamond na wema au watangaza nia wa ccm....
halafu taratibu unajisogeza
 
Sikumbuki mara ya mwisho kutongoza 'officially'...
Kutongoza sio lazima kumwambia nakupenda...
Feelings zinawaweka karibu...
 
Umekariri kutongoza ni kumwambia mwanamke nakupenda
kutongoza hata kumtazama tu na kutabasam inatosha
hata kumsalimia tu na kumuuliza kitu nayo ni kutongoza....

Wenzio hawasemi tena nakupenda....ni kusalimia tu na kuongea chochote kilichopo hapo
hata mpira au diamond na wema au watangaza nia wa ccm....
halafu taratibu unajisogeza
Ha Ha Ha Tuition hiyo!
 
Sikumbuki mara ya mwisho kutongoza 'officially'...
Kutongoza sio lazima kumwambia nakupenda...
Feelings zinawaweka karibu...

Hata sijawahi kutongoza serious/official mzaha mzaha najikuta nilishamega kitambo hata wife nilipataga kiutani utani alikuwa rafiki yangu tu
 
Hata sijawahi kutongoza serious/official mzaha mzaha najikuta nilishamega kitambo hata wife nilipataga kiutani utani alikuwa rafiki yangu tu

Formalities za kutongozana zilishapitwa na wakati...
 
Back
Top Bottom