mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Kwani uongo?
ila kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uongo?
Kijana weka aibu na woga pembeni. Kwa level yako, muite mdada tena kwa kujiamini(kama mbwai n mbwai), msalimie, muangalie alivyo vaa harafu tatufa cha kumsifia mf "sketi yako nzuri imekupendeza sana" kama unamjua, mwambie siku hizi mambo yako mazuri nini, maana umenenepa. Hapo mtapiga blah blah blah mkatishe huku unamuangalia usoni mwambie "harafu mwenzako nakupenda kweli yani huwezi amini"..... hapo atajistua na mengineyo lakin wewe jazia nyama neno hilo hilo. Popote utakapo muona kama inafaa mfuate au muite akija mueleze, usiogope hata kuua.
Ivi karne hii bado kunakutongozana? Kutongozana kulikua enzi za miaka ya 80, unavizia dem jioni akiwa anaenda kuchukua maziwa kwa jirani unaunga tela, huku unatafuna big G na mikanda ya video ya VHS umeishika, manake enzi hizo ndo ilikua ujiko. Unasomesha miezi sita ndo unakula denda, then mwezi wa tisa unapewa kamoja ka juu juu, unawehuka unaenda hadithia washkaji kijiweni wanakuona kidume!
Sasa hivi kanyaga twende, unatanguliza uongo mwingi na chipsi yai na savannah mbili, unakula mzigo, kwaulaini sana.
Naamini mleta mada atakuwa amechukuwa hizi notes muhimuUmekariri kutongoza ni kumwambia mwanamke nakupenda
kutongoza hata kumtazama tu na kutabasam inatosha
hata kumsalimia tu na kumuuliza kitu nayo ni kutongoza....
Wenzio hawasemi tena nakupenda....ni kusalimia tu na kuongea chochote kilichopo hapo
hata mpira au diamond na wema au watangaza nia wa ccm....
halafu taratibu unajisogeza
Mbona rahisi tuu kama kumsukuma mlevi.wew muanze hivi " dada mambo" atakujibu poa then muulize "shemeji mzima?" Asilimia nyingi hucheka na kusema " shemeji hayupooo" thn muulize tena "je akija" utasikia ohh "akija nitamfikiria" mwambie okey "basi nenda kanifikirie mimi"
Mbona signecha yako inaongea kitu tofauti?
Oya usiwe na pressure, utapata demu. Kuna watu wengine tunapitia the hard way hadi kujifunza kuwaingia hawa mademu, binafsi confidence ya kumweka sawa demu nimepata sekondari kabla ya hapo ungeniona ungenicheka. Halafu kuna mijitu mingine hapa itajifanya inajuwa kuwavua ch**p* hawa wanawake lakini ukicheki list yake ya wanawake aliyopitia hata Asha ngedere ana afadhali. JIAMINI.
Ungesema tuu, kama lisingenifaidia mimi basi hata mwingine
Wakilala unikumbushe nikwambie
Akina nani?
Umekariri kutongoza ni kumwambia mwanamke nakupenda
kutongoza hata kumtazama tu na kutabasam inatosha
hata kumsalimia tu na kumuuliza kitu nayo ni kutongoza....
Wenzio hawasemi tena nakupenda....ni kusalimia tu na kuongea chochote kilichopo hapo
hata mpira au diamond na wema au watangaza nia wa ccm....
halafu taratibu unajisogeza
Akina nanihii
Mimi silali hadi wewe ulale