Moja ya dalili kuwa hujitambui na hujiamini ni kutuma nauli kwa mwanamke ambaye ndio kwanza mnaanza mahusiano

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!
 
Mimi nataka K, lazima nihakikishe mzigo unanifikia kwa kugharamia usafiri wa 'package'...

Mbona tunaagiza vitu online na nauli tunalipia tunakuna pumbu kusubiria delivery..!??
Are women some kind products!!!? Ooh wow.
 
Hakika vijana tujifunze kwa mtibeli na tumtumikie MUNGU Katika haki na kweli maana yeye ndo hutupa yaliyo mema.
 


Wakati mwingine tunatuma tukijua wana asilimia 6% kuja, 94% hawaji, na hata wasipokuja, tunajua pengine tumesaidia single Mama na wanae kununua mchele.

Tatizo ni kukosa hela tu, sio kutuma hela..... Kama unajielewa huwezi nunua mwili wa mwanamke kwa nauli, naelewa unaweza usinielewe.
 

Kununua ni kununua tuu
 
Wanadai ni heri zaidi kutoa kuliko kupokea, mambo mengine kama nauli ni utu zaidi sio kupigwa, kuna wadada kweli kakupenda na uhalisia wa maisha, na maisha yetu haya kila mtu ana yajua , na kweli uhalisia hana pesa, sioni kama ni dhambi au kosa kumsaidia nauli, sisi wanaume ni walezi wa hawa wenzetu, ndio maana wana sema wanaume watakula kwa jasho, hilo ndo jasho lenyewe.
 
hahah its true.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…