Moja ya harusi bora kabisa hii

Usichanganye harusi na misiba, harusi imekuwa ni kero sana kwa baadhi ya watu. Unafika nyumbani unakuta kadi, yaani hata mtu huna mawasiliano naye yoyote yale. Baada ya hapo inakuwa ni kero kubwa, unakuwa kama anakudai, na hata hukuwahi kutoa ahadi ya kuchangia, kiufupi inakera sana.
Kuna harusi tulichangia, siku ya harusi, kamati ya harusi wanawapa wazazi zawadi ya Tsh milioni nne. Yaani michango yetu inagawiwa tena kwa wazazi, kuanzia hapo niliona ni ushenzi kabisa.
 
Niliyoshuhudia ni ya mwamba ambapo kulikuwa na
1. Bwana na Bibi harusi
2. Mashahidi wawili
3. Padre
4. Sister ambaye Alisaidia kupiga picha
 
Hapahapa tz, nina maamuzi magumu sana kwenye vitu kama hizo.....ilizua zogo sana ila ndo sijali,,, wanafiq tu,
Wananiogopa vibaya mno jinsi nilivyo kauzu

Hapo ndo utajua watz wanapenda vitu visivyo vya msingi yani,
Safi sana, wabongo tuko tayari kuchangia harusi ila matibabu hapana😃 but vipi upande wa shemeji pia alikubaliana na hilo?
 
Ndugu wa nini ?, marafiki wa nini ? Na majirani wa nini ?
 
Itoshe kusema huna akili nahuna exposure masikini ndio mnajaza watu kwenye maharusi namisiba hayo mambo huwez kuyakuta kwakina Beckham na ellon mask
 
Si lazima yes ila lawama sasa, inabidi kuwa na roho ngumu kiasi

Kama wewe ama nyumbani kwenu kwa wazazi sio vendors wa harusi

Yaani hamna ukumbi mnaomiliki

Pia Hampo kwenye mishe za u Mc

Jua Ukifanya sherehe kubwa jua wewe ni mjinga yaani wewe unaumia ila unatajirisha watu wanaofanya hizo kazi


Kina Mc garab wanatajirika. Ila wana ndoa wao ndoa zinavunjika sababu kuu financial reasons
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…