Moja ya vitu vya kijinga kabisa mwanaume anaweza kufanya, ni kutumia pesa ili kumvutia mwanamke

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Moja ya vitu vya kijinga kabisa mwanaume anaweza kufanya, ni kutumia pesa ili kumvutia mwanamke.
Matumizi yako ni kiherehere kitakachosahaulika dakika chache baada ya senti zako kukauka. Badala ya kufanya upuuzi huo ni bora utumie kila senti unayoingiza, kuvutia pesa nyingine upande wako.

Kama unatumia pesa kwa mwanamke, tumia kwa furaha yako lakini siyo kutafuta akuone wa maana. Chenye maana ni pesa siyo wewe bro, zikiisha wewe ni barugenge tu.
 
Andikaa hapo c wanaume wt n malimbukee wa wanawake km mleta mada ..
 
Mke wa jamaa alikusanya mabegi asepe Cha ajabu akahamia chumba kingine coz jamaa alikua tayari kumwacha aende!

Wanawake hawajui wanataka Nini hasa!Sasa hivi nawaona wanatoka kazini pamoja Tena wakicheka !labda no huo mtonyo wa kazi zao maalum mwisho wa mwaka!!!

Usimlaum jamaa Kwamatendo yake,coz kama Kuna watoto lazima wale,wave na Hela lazima atoe!

Unamaanisha huyo in service wa hapo mwalala sec!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…