Molinga falcao kusajiliwa na timu kubwa ya Zesco ni aibu kwa ma scout wa Yanga. Mkwassa hii ni aibu kubwa

Vipi mzunguko wa kumi na moja sasa katika ligi kuu Tanzania bara. Bado imani yako inaamini Sarpong ni bora zaidi ya Molinga?
 
Vipi mzunguko wa kumi na moja sasa katika ligi kuu Tanzania bara. Bado imani yako inaamini Sarpong ni bora zaidi ya Molinga?

Molinga alipaswa kubaki...sarpong nguvu nyingi kuliko akili.. hajui hata kujiposition
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…