Moment: Benki ya Finca ilivotunyoosha mimi na familia yetu kisawa sawa

Binafsi hakuna kitu naogopa kama mikopo
Kwa story hii, kitu cha kuogopa siyo mikopo, ila cha kuogopa ni tabia za uasherati. Kiuchumi ni afadhali ya ulevi wa pombe kuliko uasherati.

Ulevi wa pombe huwa na kikomo cha matumizi, ukishalewa vya kutosha huwezi kuendelea kununua pombe, so ulevi una kikomo cha matumizi.

Lakini, tunaona kwenye story hii huyu mwasherati amehonga kwa hawara biashara nzima ya pato la familia na kiwanja chenye msingi. Inasikitisha.

Ova
 
Hakuna benki inatoa mkopo kwa mume bila mke kusaini,mama yako angeweka injuction kisingeuzwa kitu,elewa maana ya court injuction
Msiwe wabishi, hayo mambo ya spouse concert, affidavit, yameanza miaka ya karibuni baada ya familia nyingi kupata matatizo na ikagundulika baba ndo chanzo.
Zamani hata kuuza ilikuwa ni foreclouser sio market value
 
Poleni sana Mkuu

Ndiyo maana binafsi hupenda kuwashauri Wazee wenzangu akina ERoni na Glenn tukiwa tunacheza Bao kwamba, Kwa uzee huu tulionao tusijaribu kutafuta michepuko hasa mabinti vigoli

Hawachelewi kutuibia Pension zetu kutokana na wao kuwa na mbinu Kali za Kisasa ambazo wakizitumia tukiwa Kwa bed utajikuta unaandika Will kwamba Mali na fedha zote za kwenye akaunti ni Mali ya Mchepuko huku tukiwaacha watoto na wake zetu wa ujanani katika wakati mgumu 🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…