Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
- Thread starter
- #21
Mission accomplished, sikuwa na wasi wasi na yanga kwa kuwa wameimarika na wanazidi kuimarika, wana timu na benchi bora la ufundi, Monastir licha ya ubora wao nilitegemea wasingeweza kukiepuka hiki kikombe, bravo wananchi