Monday Morning Special!!

Ndiyo mpunguze kudanga, mnaomba pesa mno mpaka wachunwaji wanahisi uchungu.
 
Ktk maisha yetu ya kila siku kuna kupata na kukosa, namaanisha kuna faida na hasara. Tunafurahia sana faida kwakuwa inamanufaa kwetu na familia zetu na jamii kwa ujumla, tunaichukia sana hasara kwakuwa inaudhi/inakwaza/inabomoa.
Binadamu pia tupo hivyo kama hivyo vitu viwili, yani faida na hasara. Kuna watu ni faida na kuna watu ni hasara ktk jamii yetu, hatuwezi kuwa timilifu wote ni faida tupu pasipo hasara, Mungu mwenyewe alipata hasara pale malaika wake walipoasi na kumgeuka.
Kuna watu ktk mitandao ya kijamii ni makwazo kwa wengine kila wakati na kuna wengine ni wajenzi wa jamii pana kwa kadri Mungu aluvyowajalia, kama wewe hapa unajenga lakini kuna watakaojaribu kubomoa, ndivyo tulivyo binadamu hatukuanza sisi walianza watu wa mwanzo wa ulimwengu huu. NB: Sihalalishi unachokitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…