Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Waziri Aweso tafadhali njoo Morogoro uongee na wananchi kuna ubadhilifu mkubwa Kihonda Kilimanjaro na maeneo yanayolizunguka eneo hilo, Mkandarasi aliyekabidhiwa mradi hakukamilisha kazi akalipwa, baadhi ya mabomba yakaondolewa kwenye eneo la mradi, usambazaji wa mabomba haukukamilika wananchi hawapati maji, ubabaishaji ni mkubwa haijapata kutokea.WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D. Msaki.
View attachment 1704490