Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Lile group lenu la whatsupp bado lipo? Maana mle naskia kuna kamati ya roho mbaya[emoji23],,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake siku zote humchukia mwanamke mwenzao mwenye Wowowo

Na wanaume siku zote humpenda mwanamke mwenye wowowo
 
 

Money p...hope hii comment imekubadilisha
 
Muulize salama jabbbbbbbbbbbbbb
 
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru
We kibali Tu umeshashindwa ๐Ÿ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿ’ช
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ndo Uje uniaminishe huyu ni demu na mm nikuelewe?

Sent using Gun Trigger
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿ’ช
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Bibi kalale
Tushachoka kukuchora
Unasemeshwa jaje unajibu utopolo ili uonekane tu na ww unapoint zakibabe[emoji38]
Bado uko na Mimi?; ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kushukuru

We kibali Tu umeshashindwa ๐Ÿ˜‚
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿ’ช
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Money p...hope hii comment imekubadilisha
Kwenda wapi?!
Wewe na yeye wote hamjui Uzi unataka nini
Hakuna aliejigamba tatizo mnasoma Juu Juu mnakuja Ku comment watu wanawashangaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane leo Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿ’ช
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ignore them if they're reluctant to eulogize! But the fact remain the same!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani NI sheedah
Me nachoshukuru NI kwamba nazidi kumimona viewed kwenye website yangu walonitangazia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Acha wakoment hapa weee watu wote JF wakisoma wanapanda kwenye website ma naingiza hela

Ndio akili ya kiume hio, sio kupiga nuksi JF alafu huna hata 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ