Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]Uwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
?Kwanza me staki hata ucomment, maana Una comment nonsense na kujiaibisha
umaarufu sihitaji anti nina maisha ya kunitosha nyumbani kwangu labda kama wewe unataka attention kwenye Uzi huu wakufahamuπππ ndio technique za kike izo
gh hussa
Ndio Yale Yale ulisema best njoo uone sasa
Kumbe ni attention seeker hadi Insta? Hahahahahhahahhahahaha.Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan wamekuwa wachache hivyo hadi ushuku uwepo wao humu...wanawake wengi bhana...yawezekana hadi wewe ukawa mmoja wao.Hivi Kuna raha gani ya wewe kujifanya mtoto wakike?
Tena aliingia kubaya [emoji23][emoji23][emoji23].....harudii tenaKumbe ni attention seeker hadi Insta? Hahahahahhahahhahahaha.
AiseeππππHannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kike?
Auhitaji umaarufu!? The teh teh teh mbinu za kudanga siku hizi zimebadilika sana. π π π π π π π
PreeeeachKwan wamekuwa wachache hivyo hadi ushuku uwepo wao humu...wanawake wengi bhana...yawezekana hadi wewe ukawa mmoja wao.
Una maana Danga Muuza chupi alieshindikana na Kila MTU kamchoka?!Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] We nae ndo ulimuanza mwenzako...what u did was unnecessary. Ye unamuita muuza chupi ye anakuita muuza Story. Chupi zinanunulika zaidi kuliko story by the way.Una maana Danga Muuza chupi alieshindikana?!
Maskini ya Mungu
Kama usingekuwa naheshimiana na maza yake ningemchambua kuliko Alivyomfanya Mange Kimambi
Kama Mange alimtukana na Hajafunga hakuna atakae mfanye afunge [emoji23][emoji23][emoji23] .Kama sio wazazi wake kuwa na mahusiano mazuri na wazazi wangu Huyo unaemsifia angefunga instagram
Nani skuhizi ananunua chupi zake labda wewe[emoji23][emoji23][emoji23] We nae ndo ulimuanza mwenzako...what u did was unnecessary. Ye unamuita muuza chupi ye anakuita muuza Story. Chupi zinanunulika zaidi kuliko story by the way.
Hata ulivyomponda yule kaka wa watu was uncalled for so you kinda deserved all that shit .
Mbaya zaidi unaonekana we ndo uliumia yule kaka ku move one ukaanza kuwaka na ku misplace stress zako kwa dada wa watu.
Stay in your lane umaarufu wa JF hautambuliki Insta ona sasa amekuumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mange alimnyoosha akaweka account private kaja kafungua public juziKama Mange alimtukana na Hajafunga hakuna atakae mfanye afunge [emoji23][emoji23][emoji23] .
Sasa kwanza umtukane wakati hasira zako ziko kwa mfanyakazi wake??
Sent using Jamii Forums mobile app
amna mbn tunawakubal km wew kenzy nakuelewa snBora hata umeona umuhimu wetu Kuna wengine wanatuona kama vikaragosi wanatuita mbuziππ
Nawapinga na ninawakemea kwa ukali ila waje kwako wajifunze wasikalie umbea tu.
imekaa iyo moneyMama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi ππππ she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?!πππ
Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!
Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna
Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
Midemu mingine mijinga Sanaimekaa iyo money
Msapotini Huyo asie na akili akishapata akili mrudi kwangu tuendelee na kutafuta maishaUZI WA MICHAMBANO YA WANAWAKE VS WANAWAKE NA WANAUME TUNAKUWA WATAZAMAJI, WAVULANA WANATAFUTA UPANDE WA KUSAPOTI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muuza vyupi hakukosea.Nani skuhizi ananunua chupi zake labda wewe
Mama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?![emoji23][emoji23][emoji23]
Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!
Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna
Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
Napatikana Instagram, YouTube ,Twitter na Nina website ambayo naandika HADITHI za Mapenzi, Maisha na Mahusiano
NI Bibi WA Miaka 63, Nina ndoa yenye Miaka 35 ya kikristo kabisa, watukuu 3, wajukuu 9, mama WA watoto 5, [emoji23][emoji23], mtaani wanajiita Bibi Bomba [emoji23][emoji23]
Nawapenda wote [emoji173]