Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Woyoooooooo [emoji91] hapa KAZI Tu [emoji123]
Mpaka sasa hivi NI kumi bila
Nawashukuru marefa Kwa mrejesho[emoji23][emoji23][emoji23]
Sie tupo [emoji23][emoji23][emoji23] tunaangalia mtanange hapa, ila huu moto hakuna wa kuuzima labda uamue mwenyewe,, kila nikigeuka nione wa kusawazisha sioni kabisaa,, hata naniliu naye amekuwa kimya hapa,, dah



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sie tupo [emoji23][emoji23][emoji23] tunaangalia mtanange hapa, ila huu moto hakuna wa kuuzima labda uamue mwenyewe,, kila nikigeuka nione wa kusawazisha sioni kabisaa,, hata naniliu naye amekuwa kimya hapa,, dah



Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Jusi wameshafika Kwa farao, wanambiwa wamekosea njia mkimpata mtoto Yesu mje MNILETEE taarifa

Ataongea nini Huyo nanii wakati Hana akili ya kiume?!😂😂🏃🏃🏃
 
Unajipa umaarufu ambao wala hata hauna.
Na huyo mdau kaja kukujaza tuu upepo huko PM.
Mada zako zimekaa staili Fulani ya kuwavutia wanaume kama sio kuwanyegesha kwahiyo lazima wa comment na kukupenda.
Sasa wanawake ulitaka tucomment nini na wakati targeted readers wa most of your threads ni wanaume?
Tupumzishe tupo bize na Corona.
Be blessed madam

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Be blessed madam

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo big up Sana
Naona ulichosema kweli kimetimia🙏
Ubarikiwe Kwanza wewe uliethubutu kabla ya wanaume wote wenye Uume kujua Uzi ulikuwa unataka nini 😂😂🏃🏃
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss
Washafika viewers Milion 1 laki 1 🔥 kwenye website🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za watu zimezaa matunda😂😂
 
Hahahaha!!

Mazingira niliyoishi na ninayoishi sijawahi kuona kurushiana maneno wanawake kwa wanawake! Yaani nimecheka sana..
Hongera Kwa kufurahi na kuongeza maisha
 
Acha basi kumjaza upepo
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru🙏

MDAU popote ulipo big up Sana
Kama ulichosema kweli kimetimia😂😂
Ubarikiwe Kwanza wewe uliethubutu kabla ya wanaume wote wenye Uume kujua Uzi ulikuwa unataka nini 😂😂😂
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss🔥
Washafika viewers Milion 1 laki 1  kwenye website
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za watu zimezaa matunda🔥❤️🙏
 
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru[emoji120]

MDAU popote ulipo big up Sana
Kama ulichosema kweli kimetimia[emoji23][emoji23]
Ubarikiwe Kwanza wewe uliethubutu kabla ya wanaume wote wenye Uume kujua Uzi ulikuwa unataka nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss[emoji91]
Washafika viewers Milion 1 laki 1  kwenye website
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za watu zimezaa matunda[emoji91][emoji3590][emoji120]
Hivi wewe una kichaa? Mimi siwezi kufika huko na haiwezekani.
Halafu hata sina ubaya wala ugomvi na wewe lakini nashangaa umenijibu hivo
 
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru[emoji120]

MDAU popote ulipo big up Sana
Kama ulichosema kweli kimetimia[emoji23][emoji23]
Ubarikiwe Kwanza wewe uliethubutu kabla ya wanaume wote wenye Uume kujua Uzi ulikuwa unataka nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss[emoji91]
Washafika viewers Milion 1 laki 1  kwenye website
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za watu zimezaa matunda[emoji91][emoji3590][emoji120]
Viewers million 1 watoke wapi?
Waliosoma huu Uzi wako tuu hawafiki elfu 10 sasa hao million 1 wanatoka wapi?
jf members tuu hatufiki million acha kuzingua wewe.

Kubali umetema boko, madem wenzako wamekuchana ukweli ukaamua kubadilisha gia kuzuga ulikuwa unatafuta viewers. Umezingua umezingua acha kuzuga.
 
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo big up Sana
Naona ulichosema kweli kimetimia[emoji120]
Ubarikiwe Kwanza wewe uliethubutu kabla ya wanaume wote wenye Uume kujua Uzi ulikuwa unataka nini [emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss
Washafika viewers Milion 1 laki 1 [emoji91] kwenye website[emoji91][emoji173][emoji123]
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za watu zimezaa matunda[emoji23][emoji23]
Walioharibika akili wamejaa tele, sishangai.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom