Mongela kwa Rais Samia: Figisu za bandari ni agenda za wanaume kukuangusha

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.

Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]

Your browser is not able to display this video.
 
Ila hawa viumbe πŸ€”πŸ€” that's why kuongoza sio asili yao!!
 
Balozi Getrude Mongela anataka kutuambia, hao wanaume ni akina nani?

Balozi Polepole akiwa bado ni mbunge, na wakati wa chanjo Askofu Gwajima ambae ni mbunge pia, waliwahi kusema waliomzunguka #1 "wanamwingiza chaka". Ndio hao hao ambao Balozi Getrude Mongela amewalenga?

Iko haja majina yao yakafahamika ili Watanzania wawajue vema?
 
Normally,hatukupaswa kufika kote huku angekuwa kiongozi mkuu ni mwanaume huu mjadala tungekuwa tumeshasahau tunafanya mambo mengine.

Alichokisema huyu mwanamke mwenzake ndicho Samia alicho nacho kichwani mwake kwamba wanaume wanaidharau jinsia yake wanapomuona kama vile hawezi kufanya kitu kikaonekana ukichukulia tupo kwenye era ya mwanamke kujitutumua ili afanane uwezo na mwanaume unfortunately hiyo jinsia huwa haiangalii zaidi ya metre 5 mbele yaani huwa hawawezi kuwaza zaidi ya leo so mpaka aje kujua haikupaswa kuwa hivi kutakuwa kumeshakucha tukiwa na case nyengine ya kujibu.
 
Hivi ni nini huwa kinasababisha hii jinsia kutokufikiria ya mbele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…