Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Watetezi wa wauza watumwa dpw kazi mnayo.Nimemtukana kimoyomoyo..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watetezi wa wauza watumwa dpw kazi mnayo.Nimemtukana kimoyomoyo..!!!
Je Dr Tulia Ackson atamwelewa?Nadhani Mama Mongela, kwa experience yake ktk Uongozi, Serikali, Chama na Siasa za Kimataifa, sio wa kubeza hata kidogo. Ameona mengi, ameshuhudia mengi, anafahmau hata yale yasiyostahili kusemwa hadharani,just for mustakabari wa heshima ya Taifa.
Hiyo kauli yake ni pana na inaongea kinachoendelea kwa sasa ndani ya viunga vya uongozi. Ukiangalia kwa jicho la tatu, unaweza kushaurika kuwa, anachoongea Mama Mongela, sio sual la Genda (ME na KE), bali katumia tu mgongo huo, kuwakilisha utamaduni uliopo ndani ya Siasa zetu. Ujumbe wake kwa Mheshimwa Rais Mama Samia, tena akiwa uso umefura hasira ni kwamba "Achana na Hao Wanaume Waliokuzunguka"
NI kauli nzito, ambayo Mheshimwa Rais, anahitaji kuifanyika kazi haraka.
She's not my motherHii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Kwa kuwa tumeondoka kwenye ukweli na uhalisia wa vifungu vya mkataba tutaendelea kubaguana hadi kiwake!!😂😂Wanaume tena😂😂😂😂.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
Umenifananisha..!! Mimi si mtetezi wa DPW by far..!!! Naunga mkono waraka uliotolewa na TEC kwa 101%.Watetezi wa wauza watumwa dpw kazi mnayo.
hujamuelewa anamaanisha ndani ya ccmu , wanamwingiza cha kikeKwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?
ndan ya ccmu , wanamuingiza king ili apotee 2025Translation please [emoji1545] kwa alielewa huyu mama anazungumza nini??
ila Samiah nae mweh , tangu awali kama yupo timamu ilibidi akosoe na sio kukaa kimya tuMama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736][emoji419][emoji375]
huyo ni bendera fuata upepoTulia kabadilisha lini jinsia?
Usikute hata chai haujanywa hapoHuyo Rais wao kamwe aje kibahati Kisha atake kuendelea kwenye hio haipo Magufuli aliingia kibahati na huyo Bibi nae hapana haitatokea huyo ni wa mpito tu amalize aondoke. Ajiandae tu kuondoka
Mbatia ana uhusiano gani hapa?Nawakumbusha tu wapinzani wanaoshirikiana na Mbatia wawe makini nae. Yule sijui kama si ndumilakuwili. Sasa amekuwa all over wenzie [emoji23].