MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Umemuelewa kweli!?Kwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuelewa kweli!?Kwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?
Mama Mongela, Mama Migiro na Mama Anna Abdulallah ni hatari kwa feminism. Hata Ananilea Nkya haoni ndani.Gertrude Mongela,
The High Priestess of Feminism.
Hapa nawaza kuanzisha u alikiba na udiamond kwenye ishu ya bandar.wanaopinga ni mashabiki wa alikiba maana diamond hujiita sheikh Mansour mkuu wa dubaiWanaume tena😂😂😂😂.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
Translation please 🙏🏿 kwa alielewa huyu mama anazungumza nini??Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
View attachment 2725664
Mama Mongela, Mama Migiro na Mama Anna Abdulallah ni hatari kwa feminism. Hata Ananilea Nkya haoni ndani.
Naunga nawe, kucheka na kushangaa maajabu haya!Wanaume tena😂😂😂😂.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
Probably you meant a 'misogynist' and not a 'feminist'?Kelsey, are you a feminist, ???
M-Beiging original anajaribu kubadili upepo.
CCM nyie think tanks wenu ni akina nani haswa?
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736][emoji419][emoji375]Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Halafu Nate kaishia kumsifia kinafiki [emoji23]Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Anajulikana waziNawakumbusha tu wapinzani wanaoshirikiana na Mbatia wawe makini nae. Yule sijui kama si ndumilakuwili. Sasa amekuwa all over wenzie [emoji23].
No, may be my twin sister 😅Aren't you a faithful adherent of the Beijing Crusade, ?
Tunaendelea kutafuta wachawi. Hatutaki kuwajibika, kurekebishaoWanaume tena😂😂😂😂.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
Yuko sahihi maana hata spika wa bunge ni mwanaume yule...Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Hata askofu Shoo lifikisha ujumbe kwa akili kubwa sana. Watu wengi hawakumwelewa na hawakutaka kujishughulisha wamweleweMama Mongella kaongea kwa akili nyingi. Kwa uzoefu wake kuna namna kapeleka ujumbe.
JPM aliingia kibahati?? Katika wale walioenda kuchukua fomu nan alikuwa na sifa za JPM??Huyo Rais wao kamwe aje kibahati Kisha atake kuendelea kwenye hio haipo Magufuli aliingia kibahati na huyo Bibi nae hapana haitatokea huyo ni wa mpito tu amalize aondoke. Ajiandae tu kuondoka
Hujamuelewa Mama Mongella. Anasema wanaume ndio vinara wa kushabikia huo Mkataba na DpWorld ili huyo Samia atoke madarakani!! Wanawake kama Tibaijuka hawashabikii kwasababu wamegundua kuwa huo ni mtego Kwa Samia ili apate ajali ya kisiasa!! Mongella is advising her to scrap the contract with DpWorld kitu ambacho hivi sasa ni KAA la Moto Kwa Samia kutokana na fedha nyingi walizopokea Samia na genge lake kutoka kwa Waarabu!Kwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?