Vita vya jinsia nowHii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu. Wanakwepa hoja kwa kutumia cheap stunts haisaidii.....Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Ni kweli kabisa mama wa BeijingHii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
No, may be my twin sister ๐
Although some of the things triggers the feminist self in me! Iโm always trying to be logical.
Yaani Au Issa Shivji ni mkristo?Kwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?
Thank you.Don't fall for it. Feminism is a lie from the darkest corner of the pit of hades.
It has done much damage to women for the past 30 years than what the Patriarchy has done for the past 2000 years. It is an ideology which tells women that they're inherently inferior to men, and the possible solution to remedy this injustice is to emasculate men, reform all laws and underlying social institutions.
Most feminists tend to conflate biological difference between men and women as weakness and inferiority. And truly, men and women are quite different, but that's not a one-way inference that women are inferior to men. The philosophy of Radical Feminist is just preposterously astounding.
Duu! Hili sakata la bandari mbona linaendelea kuwa gumu. Mama Mongela na Mama Tibajuka wateuliwe kuwa washauri wakuu wa Mama. Wana vision nzuri kwa wakinamama kuwa viongozi wa kitaifa na kimataifa.Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Atavurugwa mara ngapi?Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Kwani Anna anaunga mkono bandari iuzwe?Kwa hiyo Annah Tibaijuka ni mwanaume?
uccm na u chadema umeusahau!Wanaume tena๐๐๐๐.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
HONGERA MAMA KWA KULIONA HILO NA KUMWAMBIAHii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Akina Nape, Makamba, Mwiglu et al.Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Mama Mongela amezinyaka za chininya kapeti. Ameongea mambo mazito.Ukweli ni kuwa wahafidhina wa CCM wameshamaliza kazi
Huko ccm kuna majangili ya Taifa. Yatamsumbua sana.Normally,hatukupaswa kufika kote huku angekuwa kiongozi mkuu ni mwanaume huu mjadala tungekuwa tumeshasahau tunafanya mambo mengine.
Alichokisema huyu mwanamke mwenzake ndicho Samia alicho nacho kichwani mwake kwamba wanaume wanaidharau jinsia yake wanapomuona kama vile hawezi kufanya kitu kikaonekana ukichukulia tupo kwenye era ya mwanamke kujitutumua ili afanane uwezo na mwanaume unfortunately hiyo jinsia huwa haiangalii zaidi ya metre 5 mbele yaani huwa hawawezi kuwaza zaidi ya leo so mpaka aje kujua haikupaswa kuwa hivi kutakuwa kumeshakucha tukiwa na case nyengine ya kujibu.
Dah..!!! Kwahiyo, Ananilea Nkya ni mwanaume? Nimemtukana kimoyomoyo..!!!Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]
Wale mashekhe Ubwabwa waje wamujibu Dr Mongela.Semeni wenyewe tukisema sisi ni mfumo dume
Ila kwenye swala la Bandari tuiteni majina yote tutafutieni kashfa yoyote ila hakuna ambaye anakubali Bandari iuzwe kihuni.
Nadhani Mama Mongela, kwa experience yake ktk Uongozi, Serikali, Chama na Siasa za Kimataifa, sio wa kubeza hata kidogo. Ameona mengi, ameshuhudia mengi, anafahmau hata yale yasiyostahili kusemwa hadharani,just for mustakabari wa heshima ya Taifa.Hii imeenda. Mpaka sasa viongozi wanaume ndiyo wanaupigia chapuo sana huu mkataba upitishwe, lakini hatujaona viongozi wanawake wakiupigia chapuo huu mkataba mbovu kuwahi kutokea toka nchi ipate uhuru.
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736]