Mongela kwa Rais Samia: Figisu za bandari ni agenda za wanaume kukuangusha

Je Dr Tulia Ackson atamwelewa?
 
She's not my mother
 
Wanaume tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.Tulianza Bara-Znz, ikaja Uislam-Ukristo sasa hivi umekuwa wanaume vs wanawake
Kwa kuwa tumeondoka kwenye ukweli na uhalisia wa vifungu vya mkataba tutaendelea kubaguana hadi kiwake!!πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mm nimechoka na huu mkataba samiaa tutamlaahni maisha yake yote
 
Mama Getrude Mongela ameongea ukweli mchungu, kwamba hizo figisu za bandari ni matatizo ya wanaume wala siyo chama, wenye agenda za siri za kumuharibia mama ili apoteze hiyo nafasi huko mbeleni[emoji736][emoji419][emoji375]
ila Samiah nae mweh , tangu awali kama yupo timamu ilibidi akosoe na sio kukaa kimya tu
 
Huyo Rais wao kamwe aje kibahati Kisha atake kuendelea kwenye hio haipo Magufuli aliingia kibahati na huyo Bibi nae hapana haitatokea huyo ni wa mpito tu amalize aondoke. Ajiandae tu kuondoka
Usikute hata chai haujanywa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…