Moniccca anawaaga jamani

Kama mtu ana kubore why unasoma comments zake, haya ni maujinga... We can't be serious all the time. Wakati mwingine topics ambazo zinapunguza stress zinahitajika..
 
Kama mtu ana kubore why unasoma comments zake, haya ni maujinga... We can't be serious all the time. Wakati mwingine topics ambazo zinapunguza stress zinahitajika..

We unataka kusoma za wenzako tu, weka poat za kutoa stress pia
 
Moniccca mm si house boi wako tuliozaa mtoto anafanana na mm, sasa ukiwa busy so hata mshkaji nae anapewa likizo ya dyudyu
 
Jf ukija na u-much know unaaga mwenyeweeee.....halafu hongereni wavulana mlioko huko nyuma ya keyboard kwa kuwalaluwa ilivyo na kusepa hawa wanaotafuta kujulikana jf...ndio maana wengine wanaishia kulia lia na kuaga humu...endelezeni sebene hadi barabara ibaki tambarareee
 
Nimechoka sana..hakuna shida..usilolijua....
 
Hivi Yule aliyeaga Jana hajarejea Na ID mpya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…