Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.
Nilidhani Dkt. Mwigulu Nchemba atakuwa amewaalika WEF au WTO team kuja kutathmini uwezo wa nchi kufanya exports... kumbe ameleta watu wa benki kutathmini dhamana ya mikopo endapo tutashindwa kulipa..

Jamani mwaka 2024 na 2025 tusirudie kosa la kuipa kura CCM. Haya yanayofanyika ni kuipiga nchi mnada. Hawa hawajali hata kidogo.

Hali ya kipato ni duni. Wanaongeza mikopo ambapo sehemu kubwa ya mikopo hiyo inaenda matumboni mwao
 
Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kila kinyozi anajifunzia kunyoa. Utasikia mikopo ya masharti nafuu, tunakopesheka, kula kwa urefu wa kamba. Baadae tunalipishwa sisi raia
Si ajabu unatembelea gari uliyoinunua kwa mkopo Mkuu ila ndo umeamua kuipiga serikali na Canadian 7ve maneuver [emoji3]
 
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.

1) Wanakuja" wamealikwa au wanajijia tu wenyewe?

2) bichwa lako la habari ni swali, utumbo wako wa habari unajijibu mwenyewe.

Halafu unapojijibu huelewi hata unachojijibu.

Hiyo ni "spinning".

3) siyo "deep shore", ni ujinga kutaka kutimia lugha za watu usizozielewa, ni heri ungeandika kwankutumia Kiswahili tu. Hilo neno ulilotumia halileti maana yoyote. Ni ujinga tu.
 
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.
Kuna siku tutakuja kuuzwa nyie
 
1) Wanakuja" wamealikwa au wanajijia tu wenyewe?

2) bichwa lako la habari ni swali, utumbo wako ws habari unajijibu mwenyewe.

Halafu unapojijibu huelewi hata unachojijibu.

Hiyo ni "spinning".

3) siyo "deep shore", ni ujinga kutaka kutimia lugha za watu usizozielewa, ni heri ungeandika kwankutumia Kiswahili tu. Hilo neno ulilotumia halileti maana yoyote. Ni ujinga tu.
Koko hujawahi niangusha,
Swali anuliza yeye na jibu analitoa yeye


Uko sahihi hii itakuwa ni plan ya kupima kina cha maji
 
Mleta mada jinsi anavyo "spin" mambo na jinsi nnavyomsoma post zake mbali mbali atakuwa ni "hater" tu wa awamu ya Mama Samia.

Pia nafahamu kuwa ni mmojawapo wa "ignorant Islamophobes" waliomo JF.

Hakuna awamu hii itakachokifanya kwake kikawa chema.

Mleta mada, jinsi alivyoandika kwa "spinning" nadiriki kum-"lable" kunguni wa Sukuma gang.
 
Mleta mada jinsi anavyo "spin" mambo na jinsi nnavyomsoma post zake mbali mbali atakuwa ni "hater" tu wa awamu ya Mama Samia.

Pia nafahamu kuwa ni mmojawapo wa "ignorant Islamophobes" waliomo JF.

Hakuna awamu hii itakachokifanya kwake kikawa chema.
Muda ndo huwa msema kweli. Yapo mengi yameshasemwa na yakajipitia tu kwa aibu sababu ilikuwa uzushi.
 
CAPE VERDE NDIO NCHI INAYODAIWA ZAIDI BARANI AFRIKA, TANZANIA HAIPO HATA KWENYE NCHI 30 ZINAZODAIWA SANA BARANI AFRIKA, BADO TUNAYO FURSA YA KUKOPA ZAIDI KATIKA KUBORESHA NCHI YETU NA KUIMALIZIA VIPORO VYA MIRADI.
Tukope pia kwa ajili ya kuboresha mifumo ya e-government collections, tupunguze kasi ya fedha zinazozunguka mikononi na malipo zaidi yawe katika mfumo wa e-card, ambayo kila mtanzania atapaswa kuwa nayo, hata mishahara iingizwe humo, ili atimaye purchases zote ziwe katika electronics, hapa kodi zote ndipo zitakapokusanywa 100%.
 
Tukiyaona ya uzushi na uongo tunatakiwa tusiyanyamazie. Uongo na "spinning" za mleta mada zimelenga kujenga chuki zisizo na msingi.
Sawa, ila Sio kila uzushi wa kupigana nao.
 
Mleta mada jinsi anavyo "spin" mambo na jinsi nnavyomsoma post zake mbali mbali atakuwa ni "hater" tu wa awamu ya Mama Samia.

Pia nafahamu kuwa ni mmojawapo wa "ignorant Islamophobes" waliomo JF.

Hakuna awamu hii itakachokifanya kwake kikawa chema.

Mleta mada, jinsi alivyoandika kwa "spinning" nadiriki kum-"lable" kunguni wa Sukuma gang.
Binafsi sipendezwi na watu wanaomshambulia mwenye hoja badala ya hoja yenyewe!
U- sukuma gang umetokea wapi kwenye hoja hii?
Kwanza sukuma gang ni kitu gani?
 
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.
Utauzwa hata wewe hapo kwani bei gani?
 
Back
Top Bottom