Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Binafsi sipendezwi na watu wanaomshambulia mwenye hoja badala ya hoja yenyewe!
U- sukuma gang umetokea wapi kwenye hoja hii?
Kwanza sukuma gang ni kitu gani?
Hoja imekuwa "spinned" kwanini? Mleta hoja kaulizwa mswali kuhusu hoja yake hajajibu, saidie kumjibia kama unayo majibu, baada ya hapo ndiyo kapewa ukweli wake.
 
Kiukweli sijaona hiyo mikopo ya awamu ya 6 imefanya nini , Ebu anaye jua aniambie.
Trilliin kama 2 hivi tulipewa chanjo za Corona zilizo- expire, na hakuna aliechoma, imebidi ziteketezwe tu, ila trillion 2 ndio hizi tozo tunakamuliwa tulipe na riba juu, na mwaka huu Bajenticyeti karibu Trillion 13 tunalipa mikopo iliyoiva vizuri na riba juu. Mshaambiwa hamieni Burundi ila mnakaza shingo, jamaa hakuwa anatania, hamieni Burundi!
 
Wa Tanzania wasomi hasa wa Uchumi huwa mnasoma nini? Huwezi kuamini, siku moja miaka kama mitano iliyopota nilimuuliza waziri mmoja kuhusu Standard & Poor, Fitch na Mood, kwake ilikuwa misamiati na yule mwingine kwenye ofisi ya CAG alikuwa gizani hapo ndiyo niligundua Kwa mara nyingine nani wanatutawala very uninformed na ignorant people.

Rating ya Tanzania tangu 2008 imekuwa ikifanywa na Moody, wakati ule ilikuwa B, sijafuatilia miaka ya hivi karibuni.

wewe mwandishI usipotoshe, this is just a rating agency usilete porojo, nchi yako ikiwa rated unakuwa na nafasi ya kupata investors, financiNg etc etc
Sasa si wamesema wenyewe wanatathmini kukopesheka kwetu? Sasa niambie wewe , mtu anaekopesheke yukoje na ambae hakopesheki yukoje?
 
1) Wanakuja" wamealikwa au wanajijia tu wenyewe?

2) bichwa lako la habari ni swali, utumbo wako wa habari unajijibu mwenyewe.

Halafu unapojijibu huelewi hata unachojijibu.

Hiyo ni "spinning".

3) siyo "deep shore", ni ujinga kutaka kutimia lugha za watu usizozielewa, ni heri ungeandika kwankutumia Kiswahili tu. Hilo neno ulilotumia halileti maana yoyote. Ni ujinga tu.
Sasa unategemea mimi nijibizane na mtu mwenye mtindio wa ubongo kweli? Jikite kwenye mada and on point, sio kuzunguka na inconsistent blubbering za hapa na pale
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. @Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

TOKA MAKTABA mwaka 2018:

Tanzania yapinga ripoti 'hasi' ya taasisi ya Moody's. Ripoti hii ni ya mwanzo kabisa kuifanyia nchi kuhusu tathmini hali ya kukopesheka (credit rating) mekuja na alama B1 Hasi (negative)

Tanzania imeamua toka 2016 kuwekeza fedha nyingi za mikopo na hati fungani katika miradi mikubwa ya maendeleo ya vitu kama miundo mbinu ya reli SGR, bwawa la umeme hivyo nchi kuhaha kutafuta fedha za kugharamia miradi hiyo mikubwa kwa kugoga hodi milango ya taasisi mbalimbali ili kuufanikisha azma ya kuhakikisha kukamilisha miradi hiyo.

Alama ya B1 Hasi iliyopewa Tanzania ni bora zaidi ikilinganishwa na nchi zingine za Afrika ambazo zinasuasua kulipa madeni yake kwa wakati kama zilivyoahidi.

Alama nzuri zaidi ya B1 Hasi huwezesha nchi kuwa na credit rating nzuri hivyo kupewa mikopo kwa riba zilizo chini zaidi kutokana na hali yake ya ulipaji madeni kwa wakati na kuwaondelea hofu wakopeshaji kuhusu kulipwa kwa wakati.

Tanzania criticises Moody's for negative rating outlook​

By Reuters Staff

DAR ES SALAAM, March 5 (Reuters) - Tanzania criticised Moody’s decision to impose a negative outlook on the country’s first international credit rating, saying the agency’s concerns about the business climate were misleading.
Moody’s on Friday assigned Tanzania a “B1” credit rating with a negative outlook, the first time the country has been given a rating by any of the big international agencies.
Moody’s said the negative outlook was justified by unpredictable policymaking, which could affect economic growth and the ability to attract foreign investment.
The government in the East African nation has tussled with mining and energy firms, as it sought to renegotiate their contracts, alarming foreign investors.

“Tanzania rejects the negative outlook on the credit rating. The government expected Moody’s to sit down with the government to discuss any queries they may have after their review,” Ben Mwaipaja, a Ministry of Finance and Planning spokesperson, said on Monday.
He said the government had taken several steps to improve the business environment, without offering details.
Tanzania has prioritised infrastructure investment as part of a five-year national development plan with a goal of achieving middle income status by 2025.
Moody’s said Tanzania’s debt could rise to 43 percent of GDP in 2020 from 40.2 percent last year. Nevertheless, the agency expects the debt burden to remain below that of regional peers.

“The average maturity of Tanzania’s debt is relatively long because of a large share of multilateral, concessional external borrowing, which helps partly offset a very low revenue base and supports debt affordability,” the agency said in a statement.
Analysts said a “B1” rating, even with a negative outlook, was decent, given worsening debt profiles across Africa.
“It’s a similar rating to Ethiopia, better than Rwanda, better than Kenya. So as a debut issuer, it’s a decent rating,” Charles Robertson, chief economist at London-based frontier and emerging markets investment bank Renaissance Capital, said.
“Given Tanzania’s low per capita GDP, its a good rating.”

In 2016, Tanzania said it wanted to issue a debut Eurobond to finance infrastructure projects, but it has delayed the process due to a lack of a credit rating.
Mwaipaja did not comment on the plan to issue a Eurobond.
Robertson said the Moody’s rating suggested a Eurobond might be issued this year and foreign investors who like diversification would be interested in Tanzania.
“Investors might give Tanzania lower borrowing costs than Kenya, based on this rating,” he said, referring to Kenya’s issue of dollar bonds last month. (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala and Omar Mohammed Editing by Duncan Miriri and Susan Fenton
 
In 2016, Tanzania said it wanted to issue a debut Eurobond to finance infrastructure projects, but it has delayed the process
6 December 2016
Tanzania yataka ripoti ya kukopesheka (credit rating ) itoke haraka ili iweze kuuza Hati-fungani za Eurobond za thamani ya US$900 million kugharamia miradi mikubwa ya maendeleo ya vitu kama ujenzi wa mpya SGR miundombinu ya reli

6 December 2016

Tanzania aims for debut Eurobond in 2017/18 - ministry​

By Fumbuka Ng’wanakilala

October 31, 2016. REUTERS/Thomas Mukoya

DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania aims to issue its first Eurobond in fiscal 2017/18 to fund new infrastructure, the Finance and Planning Ministry said on Thursday, after repeated delays in the launch as it sought a credit rating.

It did not say how much the bond would be worth, but said the government wanted to raise $900 million in the financial year starting July 1 to fund infrastructure projects.
President John Magufuli, a former public works minister, has promised to renew creaking infrastructure with transport links and other projects, and has also led an anti-corruption drive since his election a year ago.

“The funds will be raised through issuance of a Eurobond and other modalities including tapping the syndicated loan and export credit agencies,” the ministry said in a budget document.
The Finance Ministry had said last year it had concluded talks with Fitch Ratings for a sovereign credit rating and also hoped to finalise similar discussions with Moody’s Investors Service, paving the way for a possible debut Eurobond issue.

“It will help them meet their borrowing target to finance their infrastructure plans,” said Bhaswar Mukhopadhya, the resident representative of the International Monetary Fund, referring to the Eurobond plans.

A IMF mission in October recommended the government prioritise financing and procurement for infrastructure spending to sustain growth, he said. The IMF predicts that Tanzania’s economy will grow at 6.9 percent this year.

The ministry’s budget document also said: “The government will continue to maintain good relationship with traditional and new emerging creditors to sustain concessional borrowing as the most preferable source of external funding.”
 
Wa Tanzania wasomi hasa wa Uchumi huwa mnasoma nini? Huwezi kuamini, siku moja miaka kama mitano iliyopota nilimuuliza waziri mmoja kuhusu Standard & Poor, Fitch na Mood, kwake ilikuwa misamiati na yule mwingine kwenye ofisi ya CAG alikuwa gizani hapo ndiyo niligundua Kwa mara nyingine nani wanatutawala very uninformed na ignorant people.

Rating ya Tanzania tangu 2008 imekuwa ikifanywa na Moody, wakati ule ilikuwa B, sijafuatilia miaka ya hivi karibuni.

wewe mwandishI usipotoshe, this is just a rating agency usilete porojo, nchi yako ikiwa rated unakuwa na nafasi ya kupata investors, financiNg etc etc
Yaani kujua makampuni ya nje yanavyofanya rating ili tukope ni usomi wa maana sana?
Investors wanaangalia nini wainvest kama kipo, DRC huko wanagombania .
 
Sasa si wamesema wenyewe wanatathmini kukopesheka kwetu? Sasa niambie wewe , mtu anaekopesheke yukoje na ambae hakopesheki yukoje?
Unakopesheka au hukopesheki rating lazima iwepo, kuna nchi kama DRC nazo zipo kwenye sovereign rating, na ni nchi host Ndiyo inamwita rating Agency kufanya rating na lazima utoe pesa siyo bure
 
Yaani kujua makampuni ya nje yanavyofanya rating ili tukope ni usomi wa maana sana?
Investors wanaangalia nini wainvest kama kipo, DRC huko wanagombania .
Wewe ndiyo wale wajinga wajinga ambao Faiza Foxy anawatukana kila siku. DRC ni junky, lakini kuna wanaochukua risk kama wachina au Glencore faida inaoffset risk in short time, umeona kuna mjapani au Germany anainvest au Marekani ni wale tu ambao wanafanya hedging offshore Kwa high risk
 
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.
Sioni sababu Kwa nchi yetu kujitumbukiza kwenye rundo la mikopo. Maana rasilimali tunazo nyingi mnoo za kutosha kupata fedha za kuanzisha na kuendeshea miradi ya kimkakati. Ni basi tu nchi imekosa viongozi wenye maono. Maana hata hiyo mikopo yote iliyokopwa hatuoni miradi ikikamilishwa,hakuna miradi mipya ni Ile Ile tu! Na pia sidhani kama ni vyema kuanzisha miradi mipya kabla ya kukamilisha iliyokwisha kuanza au angalau iwe imefika 90% ndipo ianzishwe mingine.
 
Wewe ndiyo wale wajinga wajinga ambao Faiza Foxy anawatukana kila siku. DRC ni junky, lakini kuna wanaochukua risk kama wachina au Glencore faida inaoffset risk in short time, umeona kuna mjapani au Germany anainvest au Marekani ni wale tu ambao wanafanya hedging offshore Kwa high risk

Mikopo imefikia toxic levels, yaani unakopa trillion 5 ili kulipa mikopo iliyoiva.., huu ni taahira kama si wendawazimu, kilichobaki hapa ni kuja kuuzwa tu..., na bado wanataka kukopa zaidi
 

Mikopo imefikia toxic levels, yaani unakopa trillion 5 ili kulipa mikopo iliyoiva.., huu ni taahira kama si wendawazimu, kilichobaki hapa ni kuja kuuzwa tu..., na bado wanataka kukopa zaidi
Ndugu rating iwe sovereign or credit ni kufanya nchi iwe iheshimike, iwe exposed. Wengi hawaijui Tanzania kama wewe unavyofikirI. Ukiwa na rating investors, financiers etc etc wanaielewa nchi yako, rating Ndiyo inafanya uwe exposed. Rating agency haina mamlaka ya kufanya wewe ukopesheke au hapana, msomaji ataamua mwenyewe baada ya kusoma report. Ndiyo maana rating agency lazima waseme ukweli
 
Sioni sababu Kwa nchi yetu kujitumbukiza kwenye rundo la mikopo. Maana rasilimali tunazo nyingi mnoo za kutosha kupata fedha za kuanzisha na kuendeshea miradi ya kimkakati. Ni basi tu nchi imekosa viongozi wenye maono. Maana hata hiyo mikopo yote iliyokopwa hatuoni miradi ikikamilishwa,hakuna miradi mipya ni Ile Ile tu! Na pia sidhani kama ni vyema kuanzisha miradi mipya kabla ya kukamilisha iliyokwisha kuanza au angalau iwe imefika 90% ndipo ianzishwe mingine.
Miradi ni ile ile, haikamiliki wala kuonekana ikisigea mbele, ipo vile vile kama alivyoiacha hayati.., sasa hata sielewi hii mikopo wanafanyia nini, tusubiri kuuzwa tu
 
Ndugu rating iwe sovereign or credit ni kufanya nchi iwe iheshimike, iwe exposed. Wengi hawaijui Tanzania kama wewe unavyofikirI. Ukiwa na rating investors, financiers etc etc wanaielewa nchi yako, rating Ndiyo inafanya uwe exposed. Rating agency haina mamlaka ya kufanya wewe ukopesheke au hapana, msomaji ataamua mwenyewe baada ya kusoma report. Ndiyo maana rating agency lazima waseme ukweli
Kwahiyo tukishajulikana halafu ndio tukope pesa ili kulipa madeni yaliyoiva..., hapo si utaahira huo? Hivi tunaongozwa na watu wa aina gani jamani?
 
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje?

Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni yule anaeweza kuulipa mkopo tarajiwa, lakini pia anacho cha kuweka ‘Collateral’ endapo atashindwa kurudisha mkopo, sasa kwa hapa Tz kuna vitu kadhaa nahisi vinatolewa macho

1.) Gesi - Japo tunaambiwa kwamba JK alishaiuza yote, lakini nadhani bado kuna nyingine iliyogunduliwa huko deepshore inaweza kufanyiwa tathmini na Moodys kuona jinsi Inavyoweza kuwekwa dhamana na kupigwa mnada endapo tutashindwa kulipa deni, hivyo wanaweza kusema tunakopesheka bado.

2.) Bwawa la Nyerere - Hii pia ni asset kubwa sana inayoweza kutumika kama ‘collateral’, Moodys wanaweza kufanya tathmini juu ya thamani ya zile Megawati 2100 zitakazozalishwa na mapato yanayoweza kuingizwa, hapa wanaweza kutupa maksi kwamba bado tunakopesheka, maana tukishindwa kulipa deni, basi wanajimilikisha bwawa na kutuuzia umeme kwa bei mbaya

3.) Watu milioni 60 - Watu ni asset, hata kama ajira, bado wanaweza kutumika kama dhamana, ukiwa na watu wengi unakuwa na nafsi ya kuwakamua na kuwaminya kwenye kodi kwa kutumia mbinu mbali mbali, mfano Tozo za miamala, Tozo za mazao, VAT na kadhalika, hivyo tukishindwa kulipa deni, tunaweza kuoandishiwa tozo na kodi muda wowote ili kulipa deni

4.) SGR., mengine tuongezee

-----
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody's inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania.

Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini hiyo ni fursa kwa Tanzania kuweza kuyafikia Masoko ya fedha ya Kimataifa yatakayoiwezesha Nchi kupata rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.

Dkt. Mchemba amesema kuwa tathimini huru inayofanywa na Taasisi hiyo itaiwezesha Tanzania kuaminiwa na Taasisi za fedha za kimataifa hivyo kuchochea uwekezaji ambao utakuza uchumi wa Nchi pamoja na ajira kwa Vijana na kwamba ujio wa Wataalamu hao unajibu kiu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Nchi ifanyiwe tathimini ili kubaini uwezo wake wa kuyafikia masoko ya fedha ya kimataifa katika kuharakisha maendeleo ya Watu.
Hapa inapigwa akili kuporwa vyote vilivyowekezwa wakati wa magufuli kuanzia ndege, meli ziwa victoria gesi etc etc. Wameshaona mtazamo wa samia kukopa ovyo na kumlaghai bado madeni ni madogo akope zaidi. Hila na ujanja wa mabeberu tutajikuta kila kilichowekezwa na umma kiko kwenye mikono ya watu binafsi tena wageni.
Tujifunze kutoka argentina. Wao toka miaka ya 80 kwa kumbukumbu yangu wanakopa na mikopa haijaweza kuwakomboa toka umaskini. Nchi imeishia kua na migogoro mikubwa ya kiuchumi hadi kuanguka serikali zao mara kwa mara. Juzi tu hapa wametangaza mfumuko wa bei ni zaidi ya asilimia 100. Wanaoneemeka ni viongozi ambao wanapokezana kutoka mume kwenda mke wake, na sasa kuna kigogo mmoja rais ila aliyekua mke wa rais ndio makamu wake. Wana kesi za kula rushwa hdi hukumu zipo ila hang'atuki mtu wala hafungwi mtu. Naona kama tukiendelea na mama tunaelekea huko.
 
Back
Top Bottom