Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Kwani mhe Ndugai anasemaje ?!! Tuwape kura au tusiwape ?!! Naona yupo kimya sana anakula vyake taratiiiibu !!
 
Yaani hili bwawa litachukuliwa kama lile la Zambia lilivyochukuliwa ili kulipa madeni, SGR, ndege zote na gesi vitakuja kubebwa kufidia deni...
 
Kuwatumia WEE KULA kuweka bei za mchongo za mafuta na kuendelea kutoa bei elekezi za mchongo kwenye mafuta pale kitita kikubwa kinapohitajika.
 
Ataicha nchi yetu ikiwa kwenye madenu mpaka mjukuu yupo tumboni anadaiwa.
Yaani PhD hii kweli haikuriri kweli ama ilipata ya kuandikiwa. Mana jamaa hajabuni kitega uchumi japo uchumi ukue ama mapato yaongezeka Bali yeye anawaza kuwakamua wachunga ng'ombe wenzake.
 
Ukakasi mtupu.Naona hatimaye tutanyang'anywa mkoa mmoja maarufu sana wenye Tanzanite na utalii.Ole wetu.
 
Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kila kinyozi anajifunzia kunyoa. Utasikia mikopo ya masharti nafuu, tunakopesheka, kula kwa urefu wa kamba. Baadae tunalipishwa sisi raia

Ukiwa mjinga usitoe mawazo hadharani namna hii
 

Kama hujafuatilia miaka ya hivi karibuni unapata wapi ujasiri wa kupinga usichokijua
 

Kumbe shida ni kuwa CCM hatuwezi kukuzingatia sababu umeonesha upo upande gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…