Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

Tumeisha! Tunageuzwa geuzwa kama chapati tu sshv hatuna lakusema!
 
.Nchi zipo kwenye verge ya ku-collapse kwa sababu ya mikopo,halafu sisi bado tunang'atng'ania mikopo,ni upimbi wa hali ya juu sana.Angalia👇 nchi zenye uwezekano wa ku-collapse 2023 kwa sababu ya mikopo.

Ndugai was right, sisi wananchi tunajukumu la kumuunga mkono.
 
Bandari washalamba
 
Kama hujui acha kuiidharirisha utaumbuliwa Bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…