Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Sasa povu lote hilo la nini? Why don't you god to church and preach what your saying here. Nimekueleza rejea kwenye mada. Sasa hivi upo nje kabisa. Lakini kama unataka ligi na mimi nitakupuuza. Kama unataka tuongelee siginature yangu hili jukwaa halifai. Twende kwenye jukwaa la intelligent nitakudadavulia kila kitu. Ndio maana nasema rejea kwenye mada maana mwisho wa siku utatokwa povu mpaka basi.hehehe which one when you reason funny, refuting scientifically researched Data and insist that what you feel and personally believe is god truth. Maybe it is , after all YOU YOU ARE THE GOD. Topic will only be relevant if you choose to be responsible enough to appreciate researched data and stop being jingoistic about generally everything not Tanzanian. There are things good about Tanzania, mention them in their own forums and you will not see us in there and if we do visit said forum, it will be to celebrate with you not blindly throw tantrums over whose Sugarcane is sweeter. Be THE GOD that you claim to be...THE GOD.
Hizo inaziita scientific research. Nani kakwambia ratios ni scientific research? Hayo ma ratios ni watu wamekaa na kuyaweka hayana impact yoyote katika social development. Mfano mdogo tu kwenye nchi yenu hiyo ya kenya. Eti wamewaambia ninyi ni uchumi wa kati. Lakini nchi hiyo hiyo bado kuna watu wanakufa na njaa, watu wanakufa na malaria, Serikali inashindwa kulipa doctors,
Hapohapo wanawaambia kenya wanawatukana na kuwapa taarifa za 46% ya wakenya wanaishi under poverty line. Hivi unajua maana yake?
Kama 46% wanaishi under poverty line
Chukulia 30% wanaishi kwenye poverty line
20% wanakuwa wapo kwenye middle
Kwahiyo 76% ya wakenya ni maskini wanahitaji msaada. Hawana hata ardhi
Sasa huoni hawa wazungu wanawatukana? Halafu nyie mnakenua kenua meno tu.
Wewe hutumii common sense?
Hebu niletee facts hapa unadhani kwanini kenya wapo kwenye middle economic?
Niletee na references zikiendana na evidences za maisha halisi ya wakenya.
Zaidi ya hapo utakuwa unakenua kenua meno na kutumiwa na wazungu.
Wakeup bro