More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

Kwahyo ulichowapongeza hapa ni nini? Kwamba wamefaulu kuwavutia wawekezaji au wameendelea kiujenzi au ustawi wa wakenya umeimarika?

Nadhani bana ba Afrika, sasa tunapoteza dira, maono na matarajio ya kujipigania uhuru. Sisi ni wajinga kuliko machief walorubuniwa na wakoloni kwa vitambaa vya nguo na wakauza nchi zao.

Big up wakenya kwa Mobius yenu, haya ndo maendeleo, maumau waliyafia. Takataka nyingine msituletee... ni ujinga wa kiubongo huo. Majengo, maduka, tena kwa teknolojia msiyoijua, ni upuuzi sana.
This damn communist!
 
.
Hahahaha..... Ati hawa wako na Passport....These Danganyikans. ....
Kuna hata mahali ktk hii article inaonesha hawa jamaa wanaokuja kuombaomba huko ni maskini makwao? Niliandika hapa, hawa si maskini dizaini ni matapeli tu.
Haya, hili nilikuwa silijui, kwamba hata na wakenya wenyewe huwafaata huku, walemavu waje huko. Huu ni utapeli tu, kamwe hauwezi kuhusishwa na uchumi na ustawi wa jamii ktk nchi husika.
Kama utawafatilia wasukuma, ni watu wakujituma sana. Wanafuga na kulima. Wako vizuri kiuchumi, mila zao tu ndo zinawarudisha nyuma.
Hadi leo, maisha ya wasukuma ni ya kijamaa, hakuna tatizo la mtu binafsi huku, yote ni ya jamii. Hakuna mtu aishiye hovyo eti kisa ni mlemavu.

Tusaidieni kuwarudisha hao, si maskini kama mnavyoaminishwa huko.
 
Chifu kuhusu ujinga mimi si mjinga niko na akili zangu njema sana sana (even kwa standard zako) labda ujinga uko kwako mkuu mimi na kizazi changu hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...nimewapongeza kwa miundombinu ambacho hujaelewa nn?
Kiaje umejitoa kwenye ujinga mkuu? Yanayoendelea Africa na kwa waafrika si ujinga? Kwahyo haya ndo maendeleo mababu waliyoyapigania wayapate? Kwamba tuwe na majengo tusoyajua hata fomula zake za ujenzi, mabarabara, magari na mitambo ya nje hata tusijishughulishe nasi ktk teknolojia zetu wenyewe huku tunakopeshwa fedha nyingi eti tupate elimu ya juu?

Tuendeleze utumwa kichwani wakutojitambua na kuitambua nafasi yetu? Hapana, ni heri ya Chief Mangungo wa Msoweho kuliko sisi bana.

Pamoja na kujiona tumeelimika, bado hatujajikomboa na upofu ktk mbongo zetu.
 
Kiaje umejitoa kwenye ujinga mkuu? Yanayoendelea Africa na kwa waafrika si ujinga? Kwahyo haya ndo maendeleo mababu waliyoyapigania wayapate? Kwamba tuwe na majengo tusoyajua hata fomula zake za ujenzi, mabarabara, magari na mitambo ya nje hata tusijishughulishe nasi ktk teknolojia zetu wenyewe huku tunakopeshwa fedha nyingi eti tupate elimu ya juu?

Tuendeleze utumwa kichwani wakutojitambua na kuitambua nafasi yetu? Hapana, ni heri ya Chief Mangungo wa Msoweho kuliko sisi bana.

Pamoja na kujiona tumeelimika, bado hatujajikomboa na upofu ktk mbongo zetu.
narudia tena chifu mimi na familia yangu si wajinga asilani...kwa definition ya ujinga hatumo kabisa..kuhusu yanayoendelea afrika kuna mchanganyiko wa sababu nyingi sana kubwa kuliko zote zikiwa ni UBINAFSI na ROHO MBAYA (angalia DRC..CAR..SOMALIA..SUDANI KUSINI..MALI..) kwa sehemu kubwa hizi trait zinashika kasi inaletelezwa na utitiri wa maliasili zilizopo. Lakini pia inaonekana kwa mtizamo wako kama vile Afrika ni nchi. kuna nchi zaidi ya 50 chifu afrika ni nyingi tu ziko vizuri (angalia sychelles,namibia, botswana, kenya, ghana, algeria, tunisia, angola, cerpe verde n.k). Lakini pia kwa ujinga wa waafrika ulikuwa unamaanisha wakaazi weusi wa bara hili ama wakaazi wote wa bara hili bila kujali rangi?kuhusu kukopeshwa hela kwa elimu ya juu nchi nyingi tu zisizo za kiafrika zina mfumo huo na zimepiga hatua sana tu kimaendeleo (embu gugo uone hiyo mijinchi chifu ambayo wanafunzi wanakopeshwa na nchi zimepiga hatua sana tu kimaendeleo).sijakuelewa unaposema hatujui formula za majengo na barabara ..unaongelea uhandisi ama figisu behind mitaji na umiliki wa hizo makitu?karibu kwa mjadala ila again MIMI SIO MJINGA KABISA NIMEKATA SHAURI MDA SANA CHIFU
 
narudia tena chifu mimi na familia yangu si wajinga asilani...kwa definition ya ujinga hatumo kabisa..kuhusu yanayoendelea afrika kuna mchanganyiko wa sababu nyingi sana kubwa kuliko zote zikiwa ni UBINAFSI na ROHO MBAYA (angalia DRC..CAR..SOMALIA..SUDANI KUSINI..MALI..) kwa sehemu kubwa hizi trait zinashika kasi inaletelezwa na utitiri wa maliasili zilizopo. Lakini pia inaonekana kwa mtizamo wako kama vile Afrika ni nchi. kuna nchi zaidi ya 50 chifu afrika ni nyingi tu ziko vizuri (angalia sychelles,namibia, botswana, kenya, ghana, algeria, tunisia, angola, cerpe verde n.k). Lakini pia kwa ujinga wa waafrika ulikuwa unamaanisha wakaazi weusi wa bara hili ama wakaazi wote wa bara hili bila kujali rangi?kuhusu kukopeshwa hela kwa elimu ya juu nchi nyingi tu zisizo za kiafrika zina mfumo huo na zimepiga hatua sana tu kimaendeleo (embu gugo uone hiyo mijinchi chifu ambayo wanafunzi wanakopeshwa na nchi zimepiga hatua sana tu kimaendeleo).sijakuelewa unaposema hatujui formula za majengo na barabara ..unaongelea uhandisi ama figisu behind mitaji na umiliki wa hizo makitu?karibu kwa mjadala ila again MIMI SIO MJINGA KABISA NIMEKATA SHAURI MDA SANA CHIFU
Nikuulize swali, hivi lile daraja la Nyerere, na mabarabara mengine, hata stendi ya mkoa Morogoro nk, yasingeweza kujengwa na watz wenyewe, kwakuwa taaluma hatuna au mitaji hatuna?

Hapo ndo ninapouona ujinga huu, haswa kuona jengo tu limejengwa na wageni, linavutia, nasi kuona kwa hilo tumeendelea, mi siamini kama hayo nayo ni maendeleo.

Mfano, mi maskini, Bakresa amenipa bilioni moja, akanijengea nyumba nzuri na mengineyo,yote ndani ya wiki 2 tu. Je nami naweza pita mtaani na kujinadi kuwa nimeendelea?

Na wenye akili nao wanaweza kumsifia huyu mtu kuwa jamaa ameendelea? Najua uko vizuri, utakuwa umenielewa nini namaanisha hapo.
 
narudia tena chifu mimi na familia yangu si wajinga asilani...kwa definition ya ujinga hatumo kabisa..kuhusu yanayoendelea afrika kuna mchanganyiko wa sababu nyingi sana kubwa kuliko zote zikiwa ni UBINAFSI na ROHO MBAYA (angalia DRC..CAR..SOMALIA..SUDANI KUSINI..MALI..) kwa sehemu kubwa hizi trait zinashika kasi inaletelezwa na utitiri wa maliasili zilizopo. Lakini pia inaonekana kwa mtizamo wako kama vile Afrika ni nchi. kuna nchi zaidi ya 50 chifu afrika ni nyingi tu ziko vizuri (angalia sychelles,namibia, botswana, kenya, ghana, algeria, tunisia, angola, cerpe verde n.k). Lakini pia kwa ujinga wa waafrika ulikuwa unamaanisha wakaazi weusi wa bara hili ama wakaazi wote wa bara hili bila kujali rangi?kuhusu kukopeshwa hela kwa elimu ya juu nchi nyingi tu zisizo za kiafrika zina mfumo huo na zimepiga hatua sana tu kimaendeleo (embu gugo uone hiyo mijinchi chifu ambayo wanafunzi wanakopeshwa na nchi zimepiga hatua sana tu kimaendeleo).sijakuelewa unaposema hatujui formula za majengo na barabara ..unaongelea uhandisi ama figisu behind mitaji na umiliki wa hizo makitu?karibu kwa mjadala ila again MIMI SIO MJINGA KABISA NIMEKATA SHAURI MDA SANA CHIFU
Okay, waafrika mara nyingi huwa naamaanisha watu weusi. Ila niaminivyo mm, ni kheri hii race ya weusi kuliko waarabu, hawa ni wajinga zaidi.

Ukilinganisha na nguvu walizonazo, kinachoendelea kwao ni zaidi ya ujinga.
 
Okay, waafrika mara nyingi huwa naamaanisha watu weusi. Ila niaminivyo mm, ni kheri hii race ya weusi kuliko waarabu, hawa ni wajinga zaidi.

Ukilinganisha na nguvu walizonazo, kinachoendelea kwao ni zaidi ya ujinga.
what does this have to do with the mall?
 
what does this have to do with the mall?
We were just talking about development,a real development, hayo mengineyo ni ya kwako. Kama kuwa na malls kwenu ni development, poa. Kila la kheri.
 
Wa were just talking about development,a real development, hayo mengineyo ni ya kwako. Kama kuwa na malls kwenu ni development, poa. Kila la kheri.
exactly...malls zinachangia development...do u know why?? malls are a sign of a growing middle class...in addition to this, they employ citizens and attract tourists....sio kama tanzania ambapo mall kubwa kabisa ni size ya kiosk
 
Nikuulize swali, hivi lile daraja la Nyerere, na mabarabara mengine, hata stendi ya mkoa Morogoro nk, yasingeweza kujengwa na watz wenyewe, kwakuwa taaluma hatuna au mitaji hatuna?

Hapo ndo ninapouona ujinga huu, haswa kuona jengo tu limejengwa na wageni, linavutia, nasi kuona kwa hilo tumeendelea, mi siamini kama hayo nayo ni maendeleo.

Mfano, mi maskini, Bakresa amenipa bilioni moja, akanijengea nyumba nzuri na mengineyo,yote ndani ya wiki 2 tu. Je nami naweza pita mtaani na kujinadi kuwa nimeendelea?

Na wenye akili nao wanaweza kumsifia huyu mtu kuwa jamaa ameendelea? Najua uko vizuri, utakuwa umenielewa nini namaanisha hapo.
mkipiga makelele kwasababu ya daraja, hio sio maendeleo??? ni nyie mlijenga?? wakati mlileta BRT (DART) ni nyie mlijenga? hio sio maendeleo? kaka naona wewe ukona taabu kidogo akilini....your point is that development is from within ryt?...and not by western countries ryt? ur very wrong....no country can develop by itself without other nations...especially if it is one of the least developed countries in the world eg Tanzania
 
Okay, waafrika mara nyingi huwa naamaanisha watu weusi. Ila niaminivyo mm, ni kheri hii race ya weusi kuliko waarabu, hawa ni wajinga zaidi.

Ukilinganisha na nguvu walizonazo, kinachoendelea kwao ni zaidi ya ujinga.
kwasababu United Arab Emirates, the home to Dubai, Abu dhabi and billionaires...world class shopping malls and magnificent architecture sio waarabu? do not generalize ni kama kusema waafrika ni wajinga wote....ila kuna nchi afrika zime embrace peace tranquility and togetherness like TZ
 
what does this have to do with the mall?
Kwahyo malls ni big signs ov development kwenu? Wajinga, nadhani ni filosofi za watz wa miaka ya 1895s ambao Dinani Kimathi alipigana nazo ktk miaka ya maumau kipindi kile.

Tz ni levo nyingine, utajri hauko mikononi bali ubongoni mwa watu. Ktk hilo, kaeni pembeni...mlidhani ni poor Kenyans walioukataa muungano wa East Africa kipindi kile 60s,? bg no, wenye vijiakili vyao walijua ni nn ktafuatia, walimjua Nyerere. The same Tanzanians are living up2date.
 
Kwahyo malls ni big signs ov development kwenu? Wajinga, nadhani ni filosofi za watz wa miaka ya 1895s ambao Dinani Kimathi alipigana nazo ktk miaka ya maumau kipindi kile.

Tz ni levo nyingine, utajri hauko mikononi bali ubongoni mwa watu. Ktk hilo, kaeni pembeni...mlidhani ni poor Kenyans walioukataa muungano wa East Africa kipindi kile 60s,? bg no, wenye vijiakili vyao walijua ni nn ktafuatia, walimjua Nyerere. The same Tanzanians are living up2date.
your mother is a collosal idiot for giving birth to u....what does utajiri ubongoni help u with if wewe ni fukara mikononi? what a waste! afadhali angezaa uji
 
exactly...malls zinachangia development...do u know why?? malls are a sign of a growing middle class...in addition to this, they employ citizens and attract tourists....sio kama tanzania ambapo mall kubwa kabisa ni size ya kiosk
Mi si mpenzi wa lugha za matusi na kejeli,ila kwa mwafrika mwenzangu ka wewe, nilitakiwa nikutukane.

Umezaliwa maeneo yapi ya nchi yako hata usiijue nchi yako? Hapo Kenya tu,,malls ni kitu muhimu kwao? Acha ujinga, pevuka. Wakenya halisi wanayo wayatakayo na ni muhimu kwao zaidi ya malls.

Inawezekana hata babako mzazi hajawai ingia moja ya hizo malls unazozishadadia, na akitakacho ni panado tu zahanatini iwepo. Si lazima awe babako, vipi baba wa wenzako wakenya?

Kua, ntakusaidia kukua na kufikiri kikubwa, kwa watz hilo ni jukumu letu la asili,unaujua mwenge wa uhuru na mantiki yake?
Eti tabaka la kati, wangapi hao ktk nchi? na wale wa tabaka la chini ni wangapi?

Thank you Hayati Nyerere, naufikiria utu sasa zaidi ya upumbavu mwingine. Rest in peace, St. Nyerere.
 
Mi si mpenzi wa lugha za matusi na kejeli,ila kwa mwafrika mwenzangu ka wewe, nilitakiwa nikutukane.

Umezaliwa maeneo yapi ya nchi yako hata usiijue nchi yako? Hapo Kenya tu,,malls ni kitu muhimu kwao? Acha ujinga, pevuka. Wakenya halisi wanayo wayatakayo na ni muhimu kwao zaidi ya malls.

Inawezekana hata babako mzazi hajawai ingia moja ya hizo malls unazozishadadia, na akitakacho ni panado tu zahanatini iwepo. Si lazima awe babako, vipi baba wa wenzako wakenya?

Kua, ntakusaidia kukua na kufikiri kikubwa, kwa watz hilo ni jukumu letu la asili,unaujua mwenge wa uhuru na mantiki yake?
Eti tabaka la kati, wangapi hao ktk nchi? na wale wa tabaka la chini ni wangapi?

Thank you Hayati Nyerere, naufikiria utu sasa zaidi ya upumbavu mwingine. Rest in peace, St. Nyerere.
kama babangu mzazi hajaingia mall yet we have almost 100 times the number of malls that Tanzania has, na babako jee?😀😀😀😀😀😀😀😀😀 very funny statement...its like mcanada anatusi mmarekani eti hajawahi ona white house😛😛😛
 
mkipiga makelele kwasababu ya daraja, hio sio maendeleo??? ni nyie mlijenga?? wakati mlileta BRT (DART) ni nyie mlijenga? hio sio maendeleo? kaka naona wewe ukona taabu kidogo akilini....your point is that development is from within ryt?...and not by western countries ryt? ur very wrong....no country can develop by itself without other nations...especially if it is one of the least developed countries in the world eg Tanzania
Nahisi ka we ndo uko na hilo tatzo, si siasa yetu ni ya ujamaa na kujitegemea. Tumejengwa hivyo, na ina maana pana ktk kila neno lake.

Siijui yenu, zaidi ya ubepari kama nilivyoaminishwa na kuamini kuwa ubebari uko hivyo, kazi unayo kunibadilisha.

Nifundishe yako na matokeo yake chanya endapo itafanikiwa, nami ntaiiga. Ila waijua Libya na ya Gadaff. Pia wamjua Yesu na matendo ya mitume baada yake, hapo sitabaki na shaka ktk utakälonishauri.

Mkuu, hawa ndo watz ukiwaondolea uchama na udemokrasia wao wakipumbavu waloletewa.

KWELI inasemaje? Kweli itatuweka huru. Na hiyo kweli haipo ktk race, continentals, wala chochote, ipo kwa viumbe hata nyoka wanaitii.

Nyama na damu havikuwa vyakula vya mwanadamu, kibaiolojia, kikemia na kifizikia pia. Avilae hawezi kuwa smart ktk ubinadamu wake.
 
mkipiga makelele kwasababu ya daraja, hio sio maendeleo??? ni nyie mlijenga?? wakati mlileta BRT (DART) ni nyie mlijenga? hio sio maendeleo? kaka naona wewe ukona taabu kidogo akilini....your point is that development is from within ryt?...and not by western countries ryt? ur very wrong....no country can develop by itself without other nations...especially if it is one of the least developed countries in the world eg Tanzania
Huyajui mengi hapa duniani, yote ni ya kulishwa tu. Utumie japo robo tu ya ubongo wako uinjoi. Unavyolishwa vyote ni akili za wanadamu, waliokuwa na kila kitu kama ulivyonavyo wewe.

Miguu miwili, macho, ubongo, mikono, masikio na kila kitu kama wewe tu. Wakakuaminisha vyote bila kuutumia ubongo wako, ukawaamini.

Tena wengine kama akina Yesu, hata hawakuwa wakoloni, wakakupa tumaini sahihi kuwa hata wewe unaweza fanya yote waliyoyatenda. Ujinga wetu tu hatukuwaelewa.

Ninachojivunia Tz ni soko la kariakoo, magari ya nyumbu, na teknolojia toka SUA, mengine labda siyajui. DART sijui BRT ikiharibika baada ya miaka 9 si tutaweza irudisha? Magari yake yakipata itirafu ya kiufundi, si tunayajua? Kwangu ni upumbavu kupigana ktk haya zidi ya yaliyo ya msingi. China ingepigana ktk haya tu,hadi leo wangekuwa kama South Africa.
 
kwasababu United Arab Emirates, the home to Dubai, Abu dhabi and billionaires...world class shopping malls and magnificent architecture sio waarabu? do not generalize ni kama kusema waafrika ni wajinga wote....ila kuna nchi afrika zime embrace peace tranquility and togetherness like TZ
Hapana, mi sijaongelea ktk mawanda hayo. Amani kwangu si inshuu, tena hata nahtajika kuitafutia tafsiri mpya.

Ila we ulitarajia taifa kama Misri uijuavyo kivyovyote kuwa kijakazi wa kataifa kachanga kama USA? Vpi kulihusu Ethiopia, Mali na Ghana?

Kuna kaujinga tulikafanya, tunakarekebisha now. Mi naliona taifa kubwa la kiafrika. Labda huyo Mungu aharakishe kiama chake.

Tz pasi na hila za outsiders, tungekuwa mbali sana kwa sera zetu. Tulijiwazia wenyewe, now tutawawazia na wengine pia.
 
Okay, waafrika mara nyingi huwa naamaanisha watu weusi. Ila niaminivyo mm, ni kheri hii race ya weusi kuliko waarabu, hawa ni wajinga zaidi.

Ukilinganisha na nguvu walizonazo, kinachoendelea kwao ni zaidi ya ujinga.
Hapa kwa waarabu sina ubishi kiongozi
 
your mother is a collosal idiot for giving birth to u....what does utajiri ubongoni help u with if wewe ni fukara mikononi? what a waste! afadhali angezaa uji
Nadhani unapendezwa, nami nitumie lugha hzo za kijinga, cha afadhali sikuzaliwa ktk mataifa hayo. Mm ni mtz.

Natamani nikuambie we ubaki na chako nami changu, kila mtu akiaminicho kuwa ni bora kwake. Mi naamini sina nikutegemeacho wewe, sijui wewe kwangu.

Jambo moja hulijui, hawa wa Jf ni miongoni mwa maraisi wajao wa Tz, na hii ndo misimamo yao. Hauko timamu, ungechukua tahadhari.

Hivi hata unalijua hili taifa wewe? au ndo historia hujaisoma?
Inawezekana bi mkubwa ni miongoni mwa wachache walio kama mama yake Yesu.

Hofu kwangu, wakenya walio wengi, eidha wanauchikia au watauchukia mfumo wao siku si nyingi. Nawaombea uchaguzi mwema. Pia nawatahadharisha, Tz ya leo ni ya kibepari, makosa yenu ni kufa kufaana.
 
Back
Top Bottom