Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni uhusiano wa gari na mapenziKwahiyo haukumnunulia, na anasema ulimpa kila kitu?
Hahahaha una maswali kama PolithiKwahiyo haukumnunulia, na anasema ulimpa kila kitu?
Yeah umesema kweliTwende tukafanye kazi,acha kulialia kisa vitu vya kijinga
Mtoa mada anatuchota😂😂😂Hahahaha una maswali kama Polithi
😂😂😂 mamboMtoa mada anatuchota😂😂😂
kalisheshe Huyo moreen uneyemzungumzia yuko wapi nikusaidieSioni uhusiano wa gari na mapenzi
Kusoma hapa inabidi utumie na magadi kabisa, didy kama didy!#ISHINI NAOO.KWA AKILI.
UNAHISI YALIANDIKWA.MANENO HAYA KWA MWANAUMEE.EEH..MAANDIKO HAYO.MKUU
#USISHINDANE NA MPUMBAVU USIJEFANANA NAE NALO ANDIKO MKUU
PUNGUZA HASIRA HASIRA HULETA HASARA MKUU
HAPA TBOVU NILIPOAMIA 2017 KUNA KIJANA HANDSOME AMEACHIWA JUMBA KUBWA LA URITHI MAGARI MAWILI YE NA.MDOGO WAKE
TULI ENJOY SANA GDTYM AKIWA TRA.ALIPOOA MIEZI NANE JAMÀ.ALIANZA KUTEMBEA ANAONGEA MWENYEWE
ANA KILA KITU ANA HELA AMEACHIWA BIASHARA ZA MAANA AMEENDA SHULE NANKAZI NZURI......
SIKU NAPIGIWA WAMEMFUNGA MIKONO WANAMPELEKA WODI YA VICHAA MIHIMBILI NDIPOMDOGOMTU AKAFICHUA MATATIZO YA KAKA NA MKEWE
MKUU TOKA HAPO NILISEMA KUMBE HAYAYANGU N MADOGO BADO NAJIHISI KUDATA HUYU KAAMUA KWENDA SKTRY KABISA
Namaanishaa lindaasanasanaa moyowako KULIKO VITU vyovyote ulimwenguni
Moyoukibeba hasira hutengeneza MENGI...huyu JIRAN mpaka kadata mns ALIKUWA na mengi MOYONI.....
Binafsi KUNA mamboo yanauma nimejifunza nkishindwa vumilia ma.hamna SOLN BASI HUWA naenda moshi ama Morogoro ama znz nazima na simu kabisa na enjoy nageuka home ....pembeni WAPE wahusika wahotel.ama.lodge nambayakuwasiliana kama.kutakuwa na emergency ikikutokea MAANA.ma hizi password mpaka zifunguke ushamwona Israel
lindeni mioyo.YENU MAISHA n.MARAMOJA. ishi kwa amani na upendo
Kabisa,[emoji119][emoji119]Yule kasema ni Mmasai, huyu kasema wa kwake ni mnyakyusa. Siku PM zikiwekwa wazi tutakutana na mengi.
Sisi Maparoko tunawaombeeni tu, twendeni tukatafute pesa, ngono tamu ukiwa na pesa!
Before alikua anaisifia Sana spray yanguSema kiukweli kuna spray zina harufu kali aisee. Utasema aliitengeneza mwenyewe baada ya mafunzo na semina za vikundi vya ujasiriamali
Hakuna kamba mkuu ngoja yakukuteKamba imekatikia pabaya!
Man ww fanya kama wajumbe. Kata supply ya huduma.. usimpe pesa yoyote. Kata supply ya shobo. Naww endelea na maisha yako.Nilivoanzisha mahusiano na wewe nilikupenda Sana.
Nilikuona ni mwanamke uliejielewa kumbe ulikua unapretend .
Hivi kweli wewe Ni wa kunivungia kiasi hiki mpaka unaniambia unajiskia kichefuchefu nikikukumbatia! Eti kisa spray yangu inanunikia vibaya! Mbona haikua hivyo mwanzo?.
Hata kiss imekua Kama almasi!!!! Pumbavu sana.
Imekua kila ninachokwambia unajibu "NO" Tena bila maelezo yoyote.
Ni Mara ngapi nakusaidia wewe?.
Saiv unavunga ubabe au kisa unatoka mbeya! Ni vile tu siwezi kuitumia karate yangu kumpiga mwanamke ila ningekufua.
Nimekuandalia tukio litakalokuliza siku nzima make dawa ya mwanamke Ni mwanamke .
Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi.
Mara
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa uelevu mkuu.mbona leo nakutana na mada za kipumbavu pumbavu sana, why??
Saikolojia inaniambia bado unampenda moreen, we tulia jipange vizuri unaweza kuta ukaoa huyo huyo, mapenzi ni ujinga ujinga tu, hakuna usiriaz mkuu, leo utalalama kesho unakuwa wa kwanza kumpigia, vuta stoney tangawizi kunywa alafu tulia!Hakuna kamba mkuu ngoja yakukute
Huyu mwanamke kanifanya niwe muumini wa sad songs.Saikolojia inaniambia bado unampenda moreen, we tulia jipange vizuri unaweza kuta ukaoa huyo huyo, mapenzi ni ujinga ujinga tu, hakuna usiriaz mkuu, leo utalalama kesho unakuwa wa kwanza kumpigia, vuta stoney tangawizi kunywa alafu tulia!