Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

Morocco kwenda Ulaya (Uhispania na Ureno) ni karibu kuliko Zanzibari na Dar (umbali wa fukwe ni 14km)

Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!

Koo nyingi za uhispania wameoleana na Wamorocco kama ilivyo kwetu bara na visiwani!

Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!

Kiufupi hawa waarabu wapo Afrika basi tu lakini asili yao ni Ulaya! Matendo yao ni ulaya, elimu yao ni ulaya, mitaala yao ni ulaya n.k

Tabia za Mreno na Mhispania nyingi zinaingiliana sana na Wamorocco!

Kuiweka kundi moja Morroco na Tanzania ni sawa na kulinganisha nywele za utosini na vinyweleo vya miguu! Hatufanani hata kidogo!

View attachment 2448016
Morocco na Tanzania haziwez kufanana kama ilivo Morocco kufanana na United kingdom kutokana na umbali. Kama Morocco ni ulaya kisa 14km Why spain isiwe ni Africa [emoji16]
 
Hapa kwenye usafiri wa ndege ndio umeniacha, inakuaje 14 km difference utembee kwa lisaa limoja kama Dar to Mwanza while unasema umbali ni karibu kuliko Dar na Znz?
Uwe unasoma vzur kaka. Kasema 14km ni kutoka fukwe ya Morocco mpka fukwe ya Spain, 1hr by flight ni kutoka mji mkuu wa Morocco to mji mkuu wa spain
 
Morocco na Tanzania haziwez kufanana kama ilivo Morocco kufanana na United kingdom kutokana na umbali. Kama Morocco ni ulaya kisa 14km Why spain isiwe ni Africa [emoji16]
Aigwa mwenye nguvu
 
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!

Koo nyingi za uhispania wameoleana na Wamorocco kama ilivyo kwetu bara na visiwani!

Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!

Kiufupi hawa waarabu wapo Afrika basi tu lakini asili yao ni Ulaya! Matendo yao ni ulaya, elimu yao ni ulaya, mitaala yao ni ulaya n.k

Tabia za Mreno na Mhispania nyingi zinaingiliana sana na Wamorocco!

Kuiweka kundi moja Morroco na Tanzania ni sawa na kulinganisha nywele za utosini na vinyweleo vya miguu! Hatufanani hata kidogo!

View attachment 2448016
Kwa kutumia vigezo hivyo hivyo, basi SPAIN NAO NI WAARABU HIVYO NI WAAFRIKA NA WAJIUNGE AU
 
Hili taifa la Morocco wana kila sababu kujiita ni watu wa Ulaya!

Umbali kutoka fukwe za Morocco na Uhispania iliyoko bara la ulaya ni 14km tu! Umbali huu unaruhusu muingiliano rahisi sana kama ilivyo Pemba na Unguja!

Koo nyingi za uhispania wameoleana na Wamorocco kama ilivyo kwetu bara na visiwani!

Kwa usafiri wa ndege kutoka miji muhimu ya Morocco na Uhispania ni mwendo wa saa moja na dakika kumi tu kwani kuna umbali wa takriban kilomita elfu moja tu, umbali ambao ni sawa na kutoka Dar to Mwanza!

Kiufupi hawa waarabu wapo Afrika basi tu lakini asili yao ni Ulaya! Matendo yao ni ulaya, elimu yao ni ulaya, mitaala yao ni ulaya n.k

Tabia za Mreno na Mhispania nyingi zinaingiliana sana na Wamorocco!

Kuiweka kundi moja Morroco na Tanzania ni sawa na kulinganisha nywele za utosini na vinyweleo vya miguu! Hatufanani hata kidogo!

View attachment 2448016
Koo zao zina ingilianaje embu fafanua vizuri ..maana bado kuna ukakasi ....swala la ukaribu ki geographia haitoshi kusema kuna muingiliano
 
Ukiwa Morocco huwezi kufika Spain kirahisi, Spain ina maeneo mawili yalio bara la Africa (Melila na Ceuta) .Kwahiyo kuna Spain ya Africa (Ceuta na Melila) ambayo imepakana na Morocco na Spain ya Ulaya ambayo unatakiwa upite Tangie Africa na Uvuke bahari ya Mediterranean katika Gibraltar ndio uingie Spain bara. Spain imeweka fence nzito uku Africa yaani Melila na Ceuta ili usiweze kuifikia bahari ya Mediterranean uende Spain Ulaya. Wamorroko wasio na vibali kila wakati wanapamba kwenye fence kuingia Spain ya Africa(Melila na Ceuta) ili wapate uhalali wa kuamishiwa Spain ya Ulaya. Kiufupi Spain wamejipanga ndio maana unaona Wahamiaji kutoka Africa wanashindwa kuzamia hata kwa boti.View attachment 2448417
Na hayo maeneo (ceuta na melilla) Spain imeyapora toka Morocco! Kiufupi ni maeneo ya ya Morocco yanayotawaliwa na Spain
 
Na hayo maeneo (ceuta na melilla) Spain imeyapora toka Morocco! Kiufupi ni maeneo ya ya Morocco yanayotawaliwa na Spain
Waliyapora kiusalama zaidi kwao kama sisi tulivyopora ziwa vikitoria
 
Back
Top Bottom