Morocco walianza kusema Wao siyo Waafrika Wenzetu, Leo wana Janga Kubwa wanachagua wa Kuwasaidia

Morocco walianza kusema Wao siyo Waafrika Wenzetu, Leo wana Janga Kubwa wanachagua wa Kuwasaidia

Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Usikute hata yaliyowakuta yamesababishwa na kauli zao mbofu mbofu..!!
 
Waachani tu, wnataka kufanana na mabwana zao, wqtakua walikolezwa sana na fimbo ya ukoloni.
Hata hivyo sisi weusi hatkakiwi kudandia kwenye rangi nyeupee ili kuthibitisha uafrica wetu rangi yetu inatosha kututambulisha.
 
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Wako sahihi kuchagua.Ukipatwa na msiba usikubali akili zikakuruka. Kati ya hayo mataifa yaliyokataliwa ni washenzi sana wanataka wajikombe na watoe matangazo.Wanaweza wakaenda kule wakabaka watu na kupjiga nao picha.
Ufaransa ndiye aliyekuwa mkoloni wao lakini si hekima kumruhusu kwani tayari mataifa jirani zake wanakataa kushirikiana naye na hata wamorocco wanaona ndio sababu ya shida zao kwani wamewabana sana watawala wao..
Mwengine ni Israel.Pamoja na kuwa Morocco walirejesha uhusiano kwa faida fulani .Watu wa Morocco hawana shida nao na wanaona ni nuhsi kabisa na ndio iliyopelekea ghadhabu za Allah kwa taifa lao.
 
Is Morocco the African, Arab, or Europe country? Kuna nchi ya kiafrika iliyotoa msaada? Naona nchi za kiarabu ndio zimekuwa za mwanzo mwanzo kutoa misaada. Anyway, hiyo nchi iko kwenye ukanda wa tetemeko la ardhi, walijisahau sana kuwa wamejenga kwenye ukanda hatari hawakuchukua tahadhari. Hii dunia ina kanda za hatari kujenga, kuna maeneo yenye kukumbwa na mafuriko, ukame, majangwa, tufani, volkano, vimbunga na hata milipuko ya magonjwa. Binadamu hana budi kujua eneo alilojenga linaweza kukumbwa na janga gani la asili
Ni kweli unachosema lakini majanga hayazuiliki, tetemeko kama hili mwisho kutokea likikuwa mwaka 1960

Sisi tuna mikondo ya maji ambapo ikikauka tu watu wanajenga halafu mafuriko yakija nyumba zinasombwa tena wanajenga, sasa mimi hao ndio nawashangaa zaidi

Ila hata Japan wana earthquakes kila wakati kwa miaka wanapata majanga mpaka wanatengeneza wengine nyumba za maboksi
 
Ukipanua tu niiweke zitaisha zote Ok?
Kumeckucha, kumekuchaaa...!!!

Lenie nikuambia

1694501203354.png


Jamaa ni short tempered haswa, umeona sasa hapa. SI umeona mitusi hiyo..!!
 
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Morocco sio wazungu wale ni waarabu tu budder! Na Moja ya viumbe wenye IQ ndogo sana ni pmj na waarabu
 
Mnasababu gani za msingi za kuichukia Morocco ?
Binafsi, sababu zangu ni hizi;

1. Wameshatukataa wafrika wenzao mara kadhaa, kwa uwazi kwenye kombe la dunia la mara ya mwisho.

2. Walishatuma maombi kujiunga na jumuiya za ulaya huko, wakati huku Afrika tuna jumuiya

Haya, na wewe tuambie, una sababu gani za msingi za kuipenda Morocco?
 
Binafsi, sababu zangu ni hizi;

1. Wameshatukataa wafrika wenzao mara kadhaa, kwa uwazi kwenye kombe la dunia la mara ya mwisho.

2. Walishatuma maombi kujiunga na jumuiya za ulaya huko, wakati huku Afrika tuna jumuiya

Haya, na wewe tuambie, una sababu gani za msingi za kuipenda Morocco?
Wamorocco wakiwa waafrika unapata faida gani na wasipo kuwa waafrika unapata hasara gani ?
 
Binafsi, sababu zangu ni hizi;

1. Wameshatukataa wafrika wenzao mara kadhaa, kwa uwazi kwenye kombe la dunia la mara ya mwisho.

2. Walishatuma maombi kujiunga na jumuiya za ulaya huko, wakati huku Afrika tuna jumuiya

Haya, na wewe tuambie, una sababu gani za msingi za kuipenda Morocco?
Inajali maendeleo
 
Back
Top Bottom