Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Boda boda washenzi sana.

Hawa watu ni kuwapiga marufuku wasisogelee nyumbani kwako kabisa.

Ni kundi la vijana washenzi wanaopenda mteremko wa maisha hivyo kushawishi wake za watu ni jambo rahisi mno.
 
Hata ukioa pisi mbovu isiyotamanika kuna wahuni wataitamani kuila na wataila kwa gharama yoyote. Duh! Tukubali kushindwa tu ili tuwe salama. Ukioa mwanamke mpenda kunyanduliwa nje bora umuache tu isije ikatokea maafa watu wengine tuna wivu balaa wa kimapenzi na hatupendi kushirikiana labda kama mwanamke ni kahaba/changudoa hapo hakuna wivu unajilia na kumuachia mwingine naye ale, inakuwa kama shimo la choo kila mtu anajisaidia kwa wakati wake
 
ah mwamba naye kaenda chini kizembe sana mtu kama huyo unamtanguliza ww sio kusubiri.... umeshathibitisha boda anakula mzigo mtangulize sio kukaa kizembe mpka malaya anakuua dah noma
 
Hata ukioa pisi mbovu isiyotamanika kuna wahuni wataitamani kuila na wataila kwa gharama yoyote. Duh! Tukubali kushindwa tu ili tuwe salama. Ukioa mwanamke mpenda kunyanduliwa nje bora umuache tu isije ikatokea maafa watu wengine tuna wivu balaa wa kimapenzi na hatupendi kushirikiana labda kama mwanamke ni kahaba/changudoa hapo hakuna wivu unajilia na kumuachia mwingine naye ale, inakuwa kama shimo la choo kila mtu anajisaidia kwa wakati wake
 
watu wanatindua hadi viwete
 
Boda boda washenzi sana.

Hawa watu ni kuwapiga marufuku wasisogelee nyumbani kwako kabisa.

Ni kundi la vijana washenzi wanaopenda mteremko wa maisha hivyo kushawishi wake za watu ni jambo rahisi mno.
Hao wake za watu ni watoto wadogo hadi washawishiwe,?acheni kutoa lawama pasipo hitajika ,mume ndo anakosa taa nyekundu ilishawaka ila akashupaza shingo kwenda kutafuta suruhu kwa mjumbe.

Mimi siwezi suruhishwa swala la ndoa yangu na mtu ambaye sikumshirikisha kumtafuta mke wangu,tulitafutana wawili na tutaachana wawili.
 
Hapo walikua wanapendana wenyewe hadi walishona sare dahhh!

Cc Smart911
Ehehheh umenikumbusha mbali, siku moja nili mess up kwakwel mbele ya mchungaji wangu.

Walikuja kumtembelea mke wangu home alikua anaumwa. Pastor na mkewe.. hawa watu wanaoenda sana kushona sare. Sasa walipokuja kumuona wife wakawa wamemletea na zawadinya kitenge kizur sana.

Bas wife akashukuru sana akasema kitenge hiki ni kizuri sana, nimekipenda mama (mchungaji).
Mama mchungaji aka comment kuwa "tena kitawapendeza sana mkishona sare na Mumeo Stepanov (huwa na oreffer always kutumia My Sirname).

Bas bila kutegemea nikajikuta nimesema "aaah hapana, mimi sipendelei sare. Ukiona mtu na mkewe wanavaa sana sare sare, basi jua kuwa ndani ya nyumba mwanamke ndio mwenye nguvu na kauli ya mwisho". 😂. Halaf nikamalizia kucheka kipendwa pemdwa, eheheh.

SAsa kumbuka hawa mchungaji na mke wake hiz ndio mambo zao. Bas nikajishtukia kwel yan nikaona bonge la soo..
 
Wanaume muache kung'ang'ania mahusiano. Sawa mke ni mrembo ila ndo hakutaki tena kamuelewa bodaboda!
Wale tuliosoma Cuba tukiona hii habari haitushangazi sana, tunajua kwa asilimia kubwa inasababishwa na female dual mating strategy, alpha f*cks, beta bucks.

Huyo kijana bodaboda ni alpha f*cks, mwalimu alieuawa ni beta bucks.

"Kill the beta in you, before the beta in you kills you" - Rollo Tomassi (Rational male) RedPill Prophet Extrovert Zurie
 
Namshukuru sana mungu na Mimi nahakika yangekunikuta kwa yule mwanamke wa kisuku
Ma/ mnyantuzu
 
kweli hayana fomula wala maelekezo imagine kamsaliti mtu mwenye mshahara uhakika na pensheni uzeeni uhakika kaenda kwa mtu ambaye uhakika wa maisha ni mdogo japo kipata wanapata
 
😁😁😁!

Kama sio hivo ni wafia dini au wameoana Hivi karibuni hasa walokole wanaizo mambo sana!

Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…