Na wewe una pretend so??
Rest in peace Mr TungarazaAkizungumzia marehemu Tungaraza, katibu huyo amesema tangu amemfahamu hajawahi kumuona akigombana na mtu yeyote na mara zote amekuwa akicheka na watu na pia hajawahi kupelekwa kwenye Serikali ya kijiji kwa tuhuma zozote, hivyo kifo chake kimeacha maswali mengi kwa wananchi wa Mang'ula na hata maeneo ya jirani.
Hawa vijana ni washenzi mkuu wanatumia kila mbinu kushawishi wake za watu.Hao wake za watu ni watoto wadogo hadi washawishiwe,?acheni kutoa lawama pasipo hitajika ,mume ndo anakosa taa nyekundu ilishawaka ila akashupaza shingo kwenda kutafuta suruhu kwa mjumbe.
Mimi siwezi suruhishwa swala la ndoa yangu na mtu ambaye sikumshirikisha kumtafuta mke wangu,tulitafutana wawili na tutaachana wawili.
Sasa kaka hawa ndio usafiri wetuuHawa vijana ni washenzi mkuu wanatumia kila mbinu kushawishi wake za watu.
Hata kama wanakataliwa.
Wakishaona mahali kuna unafuu wa maisha wanaanza kuwinda.
Ni kuwapiga marufuku kabisa wasisogee hata hatua mbili kwako.
Boda boda na bajaji piga marufuku kabisa utanishukuru.
kuna jamaa mmoja mpenda pisi kali alituacha hoi alipooa pisi mbovu, tulipomuuliza kulikoni alijibu amefanya hivyo ili wahuni wasimtamani mke wake. Ikapita miaka kadhaa aliachana na mke huyo na hatujui sababu za kuachana kwaosasa anaejipa moyo kuoa pisi mbovu ndio ponea yake aloo watu wanaitaka hiyo hiyo mbovu
Mwanamke akichepuka eti unaripoti kwa mtendaji.Ajali kazini
Haha kabisaTena ukishona hivyo - kitenge sawa na yeye...Ndio anakuona bonge la Bwege...
Halafu unauliwa kisa boda. So sad😄 mambo ya kishamba sana
Kila umapili mnavaa sare sare 😄
Hawa wasabato nini
Ova
ukute kanyanduliwa na muhuni mwenye hogo refu na wewe ni kibamia tu atakudharau na kuona ni cha mtoto humfanyi kitu, akikohoa mashine inatoka nje yenyewe, utadharaulika mpaka ukondebora uishi single fadher kuliko kuishi na mwanamke mnyanduliwaji nje. Kwanza akinyanduliwa nje, ndani hatakuwa na ushirikiano mzuri wa kunyanduliwa na mume wake, inauma sana
Halafu viben ten kwa sasa wanatumia Dawa ili wafanye umalio wao vizuri 🤨Jamaa akienda kazini (Shule) Mwamba anakuja mpaka home anakula mapochopocho na kutafuna mzigo kabisa hadi kazaa naye dah😭😭😭 Mungu tuiepushie huo msiba. Mana hapo kuna mawili, uuawe au uue.
Una mke na watoto?Sifanyi hiyo biashara, akisaliti biashara imeishia hapo.
Sina muda wa kupoteza kuchunga mtu ambaye tumekutana ukibwani,Hawa vijana ni washenzi mkuu wanatumia kila mbinu kushawishi wake za watu.
Hata kama wanakataliwa.
Wakishaona mahali kuna unafuu wa maisha wanaanza kuwinda.
Ni kuwapiga marufuku kabisa wasisogee hata hatua mbili kwako.
Boda boda na bajaji piga marufuku kabisa utanishukuru.