Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Mwanaume ukianza kuvaa sare za vitenge na mkeo umekwisha narudia tena umekwisha.
Wanaume acheni kuwa mafala kwanini mnaoa nyie ona sasa huu ujinga unakowapeleka NDOA NI UTAPELI, KATAENI NDOA mwanamke hajawahi kumpenda mwanaume zaidi ya kujipenda yeye kwanza anaweza kufanya chochote kile kwako
 
Hii imekaa kibingwa sana.. safi sanaa kamanda.
 
Hakuna cha kula ujana wala nini. Malaya ni malaya tu.
 
Hasa uwe mwanaume uwe mweusi mwanamke sura Zuri na umbo fulani ,kitovu kikubwa hatakama kidogo chakuingia ndani

Kizungukwe na tunywele fulafulani , utajikuta huachi kushona nguo mashati yanayofanana na mkeo

Hilo ,eneo nalifahamu walimu washule msingi pasua kichwa anatuma picha yakutumika mazishini anaacha kutoa taarifa nyumbani pake sio salama!!!!!

Hii nchi haihitaji zahanati na vituo vya afya vingi Bala vituo ushauri viwevingi lamta
 
Hili hata mimi nakubali. Ni udhaifu mkubwa sana. Mchepukaji unampeleka serikali za mitaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…