Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

hao watu wenyewe wa kutoa ushauri tunahitaji ushauri wa hali ya juu,,hivyo vituo vitakaa bila washauri.
 
Inaonekana marehemu alikuwa mpole kupitiliza na possibly mkewe ndiyo alikuwa kichwa cha nyumba. Mwanaume mwenzako anakuja mpaka nyumbani kumfuata mkeo halafu wewe unakimbilia serikali ya mtaa kushtaki? Halafu unatuma picha eti itumike wakati wa mazishi?
 
hao watu wenyewe wa kutoa ushauri tunahitaji ushauri wa hali ya juu,,hivyo vituo vitakaa bila washauri.
Tunasikia serikali ,ina Dira ya maendeleo 2050

Hatuelewi kwenye mipango hiyo swala la kuzalisha sana wataalamu na ujenzi vituo watalikumbuka

Naona,shivj kawapiga sana sipana kwenye dhana ya dira
 
Safi umechukua uamuzi sahihi,Usaliti hauna msamaha.
 
Ulifanya ukomandoo mzuri sana. Mlikuwa hamjazaa?
 
Tuache utani lakini, huyu demu ni mzuri alafu anaonekana mtamu sana aiseee, masikini ameingia gerezani na utamu wake jaman
 
Kapata Mume mpole sana angepata kichwa kibovu unapigwa taraka ya chapu kwanza
 
Tunasikia serikali ,ina Dira ya maendeleo 2050

Hatuelewi kwenye mipango hiyo swala la kuzalisha sana wataalamu na ujenzi vituo watalikumbuka

Naona,shivj kawapiga sana sipana kwenye dhana ya dira
mmmh sitii neno apo,,ila sina uhakika
 
I can divorce the bad wife! I guess its easier than getting rich.
Correct. However, suppose in this context, youโ€™re obliged to endure the bad wife - as a condition to your being rich!

Najua ni kama sharti la mganga lakini, kufuatana na wazo lako mwanzoni nilitaka kuona kipi kinachovumilika zaidi kati ya umasikini na mke mbovu katika hizi combi mbili: umasikini/mke bora na utajiri/mke mbovu. Wadau wanaita the devilโ€™s choice or alternative. Nimechukulia kuwa kwa mantiki iliyopo hapa huwezi kumtimua mke mbovu kirahisi rahisi tu๐Ÿ˜…

Nimeandika hivi baada ya kuona kuna wakuu wameweka hoja njema zinazofikirisha pia kuwa: mke mwema huweza kukuinua na mke mbovu huweza kukuangusha na utajiri wako. Sijui kipimo cha utajiri na umasikini nacho tunakionaje hapa. Unaweza ongeza mambo kama furaha, huzuni, maumivu, hasira, n.k. Itโ€™s all hypothetical lakini athari za mambo haya katika maisha yetu ni real and complex.
 
Mimi niliacha nimemlipia pango la mwaka mzima gf yule, baada ya miezi miwili anauliza mbona hurud nikamwambia tumeshaachana, kodi ya miez 10 inatosha wewe kujipanga na samani zote za ndani ni zako, nikampa na kifuta jasho cha tubiashara, leo mwaka wa sita alishachoka omba msamaha
 
Utamrudia ๐Ÿ˜„

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ